• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Zao la Pamba ni Ukombozi Mpya Mkoa wa Mara

Posted on: March 1st, 2018

Afisa  anayeshughulikia kilimo cha zao la pamba Mkoa wa Mara Eng. Okayo Mwita amewahimiza Maafisa Kilimo kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rorya kuhakikisha wakulima wanasaidiwa ili kuweza kufikika lengo la mavuno tulilojiwekea kama Mkoa. Eng.Okayo aliyasema hayo leo  wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa kulima zao la pamba katika Wilaya ya Rorya ikiwa ni agizo la Mhe.Kassimu Majaliwa(Mb)  Waziri Mkuu wa Tanzania kuwa Mikoa yote inayolima pamba kuhakikisha wakulima wanawezeshwa na kusaidiwa na wataalam wa kilimo.

''Ni lazima kuhakikisha wakulima wanapewa pembejeo zitakazotosheleza mahitaji yao ili tuweze kupata mavuno mengi na yenye tija kwa mkulima na Taifa kwa ujumla" alisema Eng. Okayo.

Naye Afisa Kilimo wa Wilaya ya Rorya ndugu Dominic Ndyetabura alisema kuwa wakulima wengi wameitikia wito wa Serikali wa Kulima zao la pamba na jumla ya hekari 366 ya zao la pamba zimelimwa katika Wilaya ya Rorya msimu huu wa Kilimo. "Ni jukumu letu kama maafisa Kilimo kuhakikisha wakulima wanapata pembejeo zote zinazohitajika japokuwa kuna changamoto za hapa na pale" alisema ndugu Dominic. 

Katika msimu huu wa kilimo Wilaya ya Rorya inatarajiwa kuvuna tani 366 .Hili ni ongezeko kubwa sana ukilinganisha na msimu uliopita.Kilimo cha zao la pamba ni mkombozi mpya kwa wakulima wa Mkoa wa Mara. Hili ni kutokana na mahitaji makubwa ya pamba na tayari wawekezaji wengi wameonesha nia ya kununua pamba msimu wa mavuno ujao. Kupitia zao hili wakulima wanaweza kujikwamua kutoka kwenye umasikini endapo watalima kwa bidii na kuendana na sera ya Tanzania ya  Viwanda kwa kuwa tayari Serikali iko tayari kuhakikisha kilimo hiki kinaleta faida kwa mkulima.

Zao la pamba ni muhimu kwa Tanzania ya Viwanda, tulime kukuza uchumi binafsi na taifa kwa ujumla.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa