• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TEHAMA

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kwa kifupi TEHAMA ni moja kati ya vitengo vitano (5) vikiwemo vya  Sheria, Ukaguzi wa Ndani, Uhasibu na Ununuzi na Ugavi vilivivyoanzishwa baada ya Serikali kufanya marekebisho ya Muundo wa Sekretarieti za Mkoa ambapo Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Mrisho Jakaya Kikwete alisaini waraka wa Serikali uitwao The Functions and Organisation Structure of the Regional Secretariats tarehe 3 Juni, 2011.

Dhumuni kuu la kuanzishwa kwa Kitengo cha TEHAMA ilikuwa ni kutoa utaalam na huduma katika maeneo yote yanayohusiana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika Sekretarieti ya Mkoa. Ikumbukwe tu kuwa TEHAMA ni moja kati ya sekta inayojitegemea, lakini pia ni sekta mtambuka ambapo inaziwezesha sekta nyingine za kiuchumi na kijamii kazi zake za ufanisi. Ili kuelewa zaidi kuhusu majukumu ya Kitengo cha TEHAMA, bonyeza hapa.

MIUNDOMBINU YA TEHAMA
Kitengo cha TEHAMA kimesimika na kinasimamia Mtandao wa Ndani wa Mawasiliano – Local Area Network (LAN) katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo mtandao huu unatumika kuzifikishia Sehemu na Vitengo huduma ya Internet.

MIFUMO YA KOMPYUTA
Kitengo cha TEHAMA katika Sekretarieti ya Mkoa ni msimamizi na mshauri mkuu katika ngazi ya Mkoa kuhusu masuala ya TEHAMA katika Sekretarieti yenyewe na Mamlaka za Serikali za Mitaa zilizoko mkoani Mara. Kitengo cha TEHAMA kinasimamia mifumo ya Intergrated Financial Management Information System – IFMIS/Epicor, Human Capital Management Information System – HCMIS/Lawson, Intergrated Tax Management – iTAX, Planning and Reporting System – PLANREP, LGMD na mifumo mingine mingi ambayo imetengenezwa mahsusi kwa ajili ya kazi fulani.

TOVUTI YA MKOA
Sekretatieti ya Mkoa wa Mara ina tovuti ambayo hutumika kutoa taarifa na elimu kwa yeyeto yule atayaeifungua. Tovuti hii iitwayo www.mara.go.tz ina kurasa zenye taarifa na matukio yanayotokea katika Mkoa wa Mara, lakini zipo kurasa maalum za Mamlaka za Serikali za Mitaa zinazoelezea Mamlaka hizo.

Tovuti ya Mkoa inatoa huduma ya barua pepe kwa Sehemu, Vitengo na maafisa wa Sekretarieti ya Mkoa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Serikali yanazozitaka taasisi za Serikali na Wakala wake kutumia barua pepe zinazotokana na tovuti za taasisi hizo ili kuimarisha upatikanaji bora wa mawasiliano na usalama wa taarifa zenyewe.

Hivi karibuni, tovuti ya Mkoa wa Mara itaboreshwa na kuongeza taarifa nyingi zinazohusu Sekretarieti ya Mkoa yenyewe na Mamlaka za Serikali za Mitaa ili kuifanya Serikali kuwa wazi zaidi kwa kutoa taarifa (Open Data). Taarifa zitakazowekwa ni pamoja na Mipango na bajeti, taarifa za utekelezaji, mapokezi ya fedha, matokeo ya zabuni, taarifa za uhamisho n.k.

 


Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • Waongozeni wanafunzi kufikia ndoto zao- Kusaya

    May 29, 2025
  • Kamati za Maafa Mkoa wa Mara zajengewa Uwezo

    May 26, 2025
  • Kikwete achangisha milioni 200 za ujenzi wa kanisa Mara

    May 26, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa