• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waziri wa Habari afanya ziara Mkoa wa Mara

Posted on: March 18th, 2024

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amefanya ziara katika Mkoa wa Mara kwa ajili ya kukagua ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano katika Mkoa huo.

Akizungumza baada ya kuwasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Nnauye lengo la ziara hiyo ni kukagua minara ya mawasiliano ili kuwawezesha wananchi kupata huduma za mawasiliano ambapo amesema katika Mkoa wa Mara minara 64 imejengwa na inalenga kuwafikia wananchi 284,115.

Akizungumzia umuhimu wa Serikali kuwekeza katika ujenzi wa minara ya mawasiliano Mhe. Nnauye amesema “Asilimia kubwa ya wananchi wanakaa maeneo ya vijijini na Serikali haiwezi kuyaachia makampuni ya simu kuweka minara katika maeneo hayo na wananchi ni lazima wapate mawasiliano, hivyo inatubidi kuwekeza kwenye minara”.

Mhe. Nnauye amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa mwaka 2025 watanzania wa mijini na vijijini wapate mawasiliano kwa urahisi.

Kwa upande wake, Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Butiama Mhe. Moses Kaegele amesema Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) linaendelea kuimarisha hali ya upatikanaji wa mawasiliano katika Mkoa wa Mara kwa kutekeleza miradi ya kimkakati ikiwa ni pamoja na kujenga mkongo wa taifa.

Ameeleza kuwa mpaka sasa TTCL imefanikiwa kuunganisha wateja 351 katika huduma za faiba mlangoni huku wateja 346 wakiendelea kusubiri kuunganishiwa huduma hiyo.

Mhe. Kaegele amesema Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umejenga na kukamilisha minara miwili na mingine ujenzi wake ukiwa unaendelea katika wilaya za Rorya, Tarime na Serengeti.

 Katika ziara hiyo, Mhe. Nnauye ametembelea maeneo ya Kilongwe, Wilaya ya Rorya kukagua mnara unaojengwa na UCSAF ili kuboresha mawasiliano ya wananchi katika eneo hilo.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa