• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi wa Hovyo Haukubaliki

Posted on: April 23rd, 2018

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mara  Raphael J Nyanda amesema kuwa fedha zilizotolewa na Serikali kwenye ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya lazima ifanye kazi iliyotarajiwa. Nyanda ameyasema hayo jana kwenye ziara ya ukaguzi wa Ujenzi wa Vituo vya Afya sita katika Halmashauri mbalimbali Mkoa wa Mara.

“Imekuwa ni tabia ya mazoea kuwa ujenzi wa majengo ya Serikali unafanyika hovyo hovyo pasipo kujali thamani ya fedha. Katika kipindi cha uongozi wangu sitakubali,nasema sitakubali kabisa kupokea majengo yasiokidhi viwango.Ni lazima kazi mnayoifanya iwe na ubora sambamba na fedha tuliyowapa,”alisema Nyanda akiwa anawaasa wasimamizi wa ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Alisisitiza kuwa ujenzi huo unatakiwa kukamilika si zaidi ya tarehe 15 Mei ,2018 na uzinduzi rasmi wa kitaifa wa ujenzi wa vituo hivyo ni mwisho wa mwezi wa tano.”Hivyo basi ni lazima mhakikishe mnafanya kazi usiku na mchana pasipo kusimama ili kukamilisha kazi hiyo  kwa kuwa fedha zipo na hakuna sababu ya kutokamilisha kazi kwa wakati’” alisema Nyanda.

Naye Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Mkoa Yusuph Luhende alisema kuwa baada ya ujenzi huu kukamilika ni lazima ukaguzi wa kina ufanyike ili  kujua matumizi ya fedha kama yamefanyika kwa kufuata taratibu.

“Mnatakiwa kuwa makini sana na manunuzi mnayofanya.Singatieni taratibu na kuhakikisha kila mnachokifanya ni matokeo ya kamati ya ujenzi.Mkumbuke kutunza risiti zote za manunuzi ili kutojiweka kwenye matatizo hapo badae,” alisema Luhende.

Ujenzi na ukarabati wa Vituo vya Afya ni mpango wa serikali kwa nchi nzima wa kuhakikisha kunakuwa na mazingira bora na salama ya kutolea huduma za afya.

Imetolewa na Stephano Amoni- Afisa TEHAMA 

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa