• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Simbachawene apongeza usimamizi wa miradi Tarime

Posted on: October 8th, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. George Boniface Simbachawene leo tarehe 2 Oktoba, 2024 amefanya ziara katika Wilaya ya Tarime ambapo ameipongeza Wilaya ya Tarime kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.

Mhe. Simbachawene ametoa pongezi hiyo baada ya kuzindua Shule ya Msingi Komote na mradi wa maji katika Kijiji cha Kemakorere na kuridhika na utekelezaji wa miradi hiyo.

“Hapa katika shule hii, shilingi milioni 540 zilizotumika zinaonekana kwa macho ya kila mtu, awali nilijua ni shule ya sekondari kumbe ni shule ya msingi” amesema Mhe. Simbachawene na kuipongeza Serikali kwa maamuzi yake ambayo yamepunguza msongamano wa wanafunzi katika Shule ya Msingi Nkende.

Mhe. Simbachawene ameipongeza Serikali kwa kujenga shule mpya katika eneo hilo na kuongeza kuwa hapo awali, isingekuwa rahisi kwa Serikali kutoa fedha zote za kujenga shule mpya kwa mara moja kutokana na bajeti iliyokuwa inatengwa, lakini kwa awamu ya sita inawezekana.

Akizungumzia kuhusu mradi wa maji wa Kemakorere Mhe. Simbachawene ameipongeza Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kwa mradi huo ambao unatoa huduma ya maji kwa wananchi wa eneo hilo.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Mhe. Daniel Komote ameishukuru Serikali kwa kujenga shule hiyo nay eye kama Diwani wa Kata hiyo aliwahamasisha  wananchi ambao wamechangia baadhi ya shughuli katika kuingiza maji, umeme na kulima barabara ya kuingilia katika shule hiyo.

Mhe. Komote amesema wananchi pia wanachangia chakula cha wanafunzi shuleni na wanafunzi wote wa shule hiyo wanakula shuleni na kuwalipa walimu sita wanaojitolea katika shule hiyo kutokana na upungufu wa walimu.

Mhe. Komote amesema kutokana na mwanzo mzuri katika ushirikiano wa wazazi, walimu na wanafunzi wa shule hiyo, anategemea shule hiyo itafanya vizuri kutokana na msingi mzuri uiojengeka baada ya kuanzishwa kwake.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa