• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mtanda aanza ziara kukagua miradi

Posted on: September 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo ameanza ziara katika Mkoa wa Mara kukagua miradi inayotekelezwa katika sekta za Elimu na Afya na kuwataka wafanyakazi na wananchi kufanyakazi kwa bidii.

Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo katika miradi mbalimbali aliyoitembelea katika Manispaa ya Musoma ambapo amesema bila kujituma katika kufanya kazi kwa bidii hamna mafanikio.

“Vitabu vyote vya dini vinahimiza watu kujituma katika kufanyakazi, rai yangu tufanyekazi kwa bidii na maarifa ili hata ukikosa mafanikio, juhudi yako katika kazi itaonekana” amesema Mhe. Mtanda.

Mheshimiwa Mtanda amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma kukamilisha ujenzi wa miradi ya elimu kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma katika miradi hiyo.

Aidha, baada ya kupewa taarifa za changamoto mbalimbali zinazoikabili Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Mhe. Mtanda ameahidi kufuatilia suala la upatikanaji wa umeme wa uhakika na ukamilishaji wa ujenzi wa hospitali hiyo Wizara ya Afya.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa ametembelea mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu (two in one) katika Shule ya Sekondari Kigera Mwinyale, ujenzi wa vyumba vya madarasa na mabweni katika Shule ya Sekondari ya Ufundi Musoma, ujenzi wa shule mpya katika eneo la Bweri Bukoba.

Aidha, katika ziara hiyo amekagua, kupanda miti na kuzungumza na wafanyakazi na wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (Kwangwa).

 Kesho Mkuu wa Mkoa ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Bunda ambapo atatembelea shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mara, Shule ya Sekondari ya Kasuguti, Shule ya Sekondari ya Mariwanda na Shule ya Sekondari ya Bunda Mjini.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa