• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC Mara awapongeza Walimu Matokeo Kidato cha Sita 2023

Posted on: July 24th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo amewapongeza walimu na wanafunzi waliohitimu kidato cha sita mwaka 2023 katika Mkoa wa Mara kwa kufanikisha ufaulu wa wanafunzi kwa asilimia 100.  

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake kuhusiana na matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) hivi karibuni.

“Ninawapongeza sana walimu, wanafunzi, wasimamizi wa sekta ya elimu na wale wote waliohusika kwa kufanikisha wanafunzi wote 3091 waliofanya mtihani huo kufaulu na Mkoa kupata ufaulu wa asilimia 100” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameeleza kuwa ufaulu wa Mkoa wa Mara umepanda kwa asilimia 0.9 kutoka ufaulu wa asilimia 99.1 kwa mtihani wa kidato cha sita mwaka 2022.

Aidha Mhe. Mtanda ameipongeza Shule ya Sekondari ya Tarime iliyopo katika Mji wa Tarime ambayo watahiniwa wake 357 kati ya 498 waliofanya mtihani katika shule hiyo mefaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza, 130 wamefaulu kwa daraja la pili na watahiniwa 11 wakiwa wamepata daraja la tatu.

“Shule hii imeongoza Kitaifa kuwa na wanafunzi wengi wa shule moja waliopata ufaulu wa daraja la kwanza katika tahasusi mbalimbali” amesema Mhe. Mtanda.

Aidha, amezipongeza Shule za Sekondari za Natta na Bunda kwa kuingia katika kumi bora kitaifa kwenye makundi yao katika matokeo ya mtihani huo.

Katika mtihani wa Taifa wa kidato cha sita mwaka 2023, wanafunzi 3,106 walidahiriwa kufanya mtihani wa kidato cha sita katika Mkoa wa Mara, wanafunzi 3091 walifanya mtihani na wanafunzi 15 hawakufanya mtihani kutokana na sababu mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa