• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC ataka Ukaguzi wa Ndani uimarishwe Bunda TC

Posted on: July 22nd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara kuimarisha Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ili kuweza kumsaidia Mkurugenzi kuisimamia halmashauri hiyo.

Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo leo tarehe 14 Julai, 2022 katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) za mwaka wa fedha 2020/2021.

“Hiki kitengo kwa sasa kina mtumishi mmoja tu, hakina gari la kufanyia shughuli za kitengo hicho hivyo kama CAG alivyoelekeza, kitengo hiki kiimarishwe haraka” alisema Mheshimiwa Hapi.

Aidha ameagiza kuongeza watumishi katika Kitengo cha Manunuzi ambacho ikama inataka kiwe na watumishi 6 lakini kwa sasa kitengo hicho kina watumishi wa wawili tu.

Mheshimiwa Hapi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kukusanya kwa asilimia 105 ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha wa 2021/2022 pamoja na kupata hati safi katika ukaguzi wa mwaka wa fedha 2020/2021.

Aidha ameitaka Halmashauri hiyo kukamilisha miradi yote ya muda mrefu kabla ya kuanzisha miradi mipya ili kuleta matumaini kwa wananchi wa Halmashauri hiyo.    

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Bunda Bwana Emanuel Mkongo ameeleza kuwa katika ukaguzi wa CAG kwa mwaka wa fedha 2020/2021, Halmashauri imepata hati safi.

Hata hivyo Bwana Mkongo ameeleza kuwa Halmashauri hiyo ilikuwa na hoja za miaka ya nyuma 22 kati ya hizo hoja 09 zimehakikiwa na kufungwa, hoja 05 zinajirudia rudia, hoja 08 zipo kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

Bwana Mkongo ameeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2020/2021 Halmashauri ilikuwa na hoja 28, kati ya hoja hizo 12 zimefungwa, hoja 02 zimepitwa na wakati na hoja 14 zipo kwenye hatua za utekelezaji.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa