• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC aihakikishia Ushirikiano CCM Mara

Posted on: August 9th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee leo ameanza ziara ya kikazi katika Wilaya ya Musoma na Wilaya ya Butiama kwa kutembelea ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kwa lengo la kujitambulisha.

Akizungumza baada ya kujitambulisha na kukaribishwa, Mkuu wa Mkoa amewaahidi ushirikiano yeye mwenyewe na viongozi wote wa serikali wa Mkoa wa Mara.

“Mimi ninawaahidi tutatoa ushirikiano wa kutosha kwa Chama cha Mapinduzi na viongozi wa Chama na niwaombe ushirikiano katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa wananchi” ameeleza Mheshimiwa Mzee.

Mheshimiwa Mzee ameeleza kuwa anaamini katika mabadiliko ya kimaendeleo na ubunifu kwa ajili ya kuutoa Mkoa wa Mara sehemu ilipofikia kwenda katika maendeleo zaidi.

Kwa upande wake, Katibu wa CCM Mkoa wa Mara Bwana Lengaeli Akyoo amemkaribisha Mkuu wa Mkoa na kusema kuwa watu wa Mkoa wa Mara wamefurahia uteuzi wao na kuahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa viongozi hao.

Aidha, amewapongeza kwa kuaminiwa na kuteuliwa na Mheshimiwa Rais na kuwakaribisha Mkoa wa Mara na hususan katika Chama cha Mapinduzi.

katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu ambaye pia amewasili Mkoa wa Mara tarehe 5 Agosti, 2022 baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 28 Julai, 2022.

 Hii ni ziara ya kwanza ya Mheshimiwa Mzee katika Mkoa wa Mara baada ya kuwasili tarehe 6 Agosti, 2022 baada ya kuteuliwa na Rais tarehe 31 Julai, 2022 kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa