• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Pamba Mkombozi Mpya

Posted on: May 8th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe.Adam Kighoma Malima amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa zao la pamba Mkoa wa Mara. Sherehe za uzinduzi huo zilifanyika kijiji cha Bukore wilaya ya Bunda Mkoa wa Mara siku ya tarehe 08 Mei, 2018.

Akizungumza na wakulima wa pamba, wanunuzi wa pamba,mameneja wa banki za CRDB na NMB pamoja na viongozi wa vyama vya ushirika  Mkuu wa Mkoa alisitiza mambo mbalimbali ili kuhakikisha msimu wa mauzo hautawakatisha tamaa wakulima wa pamba. Malima alisema ni lazima vyama vya ushirika vyote pamoja na wakulima wawe na akaunti za banki kwa kuwa mauzo hayatafanyika kwa njia nyingine yeyote isipokuwa benki ili kuepuka kudhulumiwa kwa wakulima. Serikali imefanya kila jitihada kuhakikisha mkulima wa zao la pamba hatajuta kwanini alilima pamba mwaka huu.

“Imekuwa ni tabia iliyozoelekwa kwa wanunuzi wa pamba kujipangia bei ya ununuzi ambayo inamnyonya mkulima.Katika msimu huu Serikali imetoa bei elekezi ya zao la pamba ambayo kwa kila Kg 1 ni shilingi 1,100/=. Vilevile Serikali imesamehe gharama zote za Viwatilifu ambavyo wakulima walikopeshwa kipindi cha kilimo.Hii itawawezesha ninyi wakulima kupata faida kubwa pindi mtakapouza pamba yenu. Nawaomba viongozi wa vyama vya ushirika muwe waadilifu kwa kuwa Serikali haitacheka na ninyi mkifanya vitendo vya kifisadi. Tunataka mkulima wa pamba abadili maisha yake kwa kuongeza kipato kutokana na mauzo ya pamba yake.Lakini pia wakulima mhakikishe manuza pamba yenye ubora ambayo hamjachanganya na mawe au maji ili mpate faida kubwa kwa kuwa hata wanunuzi hawapendi vitu visivyo na ubora mana na wao watapata hasara.” Alisema Malima.

Naye Afisa Kilimo wa Mkoa wa Mara  Denis Nyakisinda, alisema kwa mwaka huu wa kilimo Mkoa wa Mara umelima jumla ya hekta 70324.5 za pamba ambalo ni ongezeko la asilimia 26.5 ukilinganisha na mwaka 2016/2017 ambapo jumla ya hekta 52,423 tu ndizo zililimwa pamba. Mkoa unatarajia kuvuna tani 60,000 za pamba msimu huu wa pamba.Katika msimu huu makampuni makubwa mawili ya Olam na SMC yameingia mkataba na Halmashauri ya Bunda kuhakikisha pamba yote ya wakulima inanunuliwa na hakuna mkulima atakayerudi na pamba yake bila kuiuza. ‘’Sisi kama Mkoa tutaendelea kushirikiana na wakulima hawa na kuwapa msaada wa kitaalamu ili kuhakikisha kilimo cha pamba kinaleta tija kwao na Serikali kwa ujumla ili kuongeza kipato cha mkulima na kuendana na Sera ya Tanzania ya Viwanda.Soko la pamba lipo limeni kwa wingi wakulima” Alisema Nyakisinda.

 Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa , Mkuu wa Wilaya ya Bunda Bi Lidya Bupilipili alishukuru jitihada kubwa inayofanywa na Mkuu wa Mkoa za kuhakikisha maelekezo

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa