• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ongezeni Mikopo kwa Wakulima- Samia

Posted on: August 2nd, 2020

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za fedha kuongeza mikopo kwa kwa wakulima ili kuboresha uzalishaji wa wakulima hapa nchini.

Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo wakati wa hotuba yake ya uzinduzi wa maonyesho ya sikikuu ya wakulima (NANENANE) ambayo kitaifa imefanyika katika viwanja vya Nyakabindi, Mkoani Simiyu.

“Mikopo itawasaidia wakulima wetu hapa nchini kuongeza tija katika shughuli zao na hivyo kuongeza kipato cha wakulima na taifa kwa ujumla” alisema Mheshimiwa Samia.

Kwa mujibu wa Mheshimiwa Samia kwa sasa taasisi za fedha zinatoa mikopo kwa wakulima kwa asilimia tisa tu jambo ambalo limepelekea kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa mikopo kwa wakulima hapa nchini.  

Aidha Mheshimiwa Samia amesema serikali imesimamia uimarishaji wa mnyororo wa thamani ili kuongeza tija kwa wakulima wote hapa nchini.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima ameishukuru sana serikali kwa kukubali maonyesho haya kufanyika katika Kanda ya Ziwa Mashariki kwa miaka mitatu mfululizo.

“Tunaishukuru sana serikali kwa kukubali kufanya maonyesho haya katika viwanja hivi kwa miaka mitatu mfululizo na yamekuwa na hamasa kwa wakulima wetu hapa nchini” alisema Mheshimiwa Malima.

Mheshimiwa Malima ameeleza kuwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa imejipanga kubadili shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi ili kuongeza tija zaidi kwa wananchi wanaojihusisha na shughuli hizo.

Maonyesho ya 28 ya sherehe za wakulima (NANENANE) yamezinduliwa leo tarehe 1 Agosti 2020 na yanatarajiwa kufungwa rasmi tarehe 8 Agosti 2020 Kauli mbiu ya maonyesho ya NANENANE mwaka huu ni kwa Maendeleo ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Chagua kiongozi Bora 2020.

Kwa upande wa maonyesho ya viwanja vya Nyakabindi mkoani Simiyu yameandaliwa na Kanda ya Ziwa Mashariki ambayo inahusisha mikoa ya Mara, Shinyanga na Simiyu.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa