• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wapitia miradi tisa Serengeti

Posted on: July 27th, 2024

Mwenge wa Uhuru leo tarehe 26 Julai, 2024 umeanza mbio zake katika Wilaya ya Serengeti ambapo umetipia miradi tisa yenye thamani ya shilingi 6,274,190,935.39 na kugawa vyandarua, kuzungumza na klabu ya wapinga rushwa na kugawa viti vya kuwasaidia kutembea watoto wenye ulemavu wa viungo.

Katika mradi wa bweni la wanafunzi wa Shule ya Sekondari Robanda, Mwenge wa Uhuru umezindua bweni hilo lenge thamani ya shilingi 220,873,984.00 huku kiongozi wa Mbio za Mwenge Ndugu Godfrey akitoa maelekezo ya kuondoa vitanda vilivyozidi katika bweni hilo kwa ajili ya usalama wa wanafunzi.

Aidha, Mwenge wa Uhuru umefungua mradi wa maji wa Kata ya Issenye wenye thamani ya shilingi 1,971,903,869.64 na katika mradi huo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru alitoa elimu kuhusu umuhimu wa matumizi ya mfumo wa NEST katika manunuzi ya umma.

Mwenge wa Uhuru uliweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa soko la Kijiji cha Makundusi lililojengwa kwa gharama ya shilingi 122,865,560.00 kutokana na mapato ya kijiji hicho na mchango wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Akiwa katika eneo hilo, Ndugu Mnzava alitoa elimu ya uchaguzi kwa wananchi waliokuwa wamekusanyika katika mradi huo na kuwaasa kuwachagua viongozi bora na kuwaepuka watu wanaoanzisha uchochezi na vurugu hususan wakati huu Taifa linapoelekea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Mwenge wa Uhuru pia umekagua na kuweka jiwe la msingi katika barabara ya Park Nyigoti –Nyichoka yenye daraja na makalavati 30 yenye thamani ya shilingi 2,147,948,000.00 iliyotolewa na Benki ya Ujerumani (KFW) kupitia Shirika la Hifadhi ya Taifa (TANAPA).

Aidha, Mwenge wa Uhuru umezindua Zahanati ya Bokore iliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya Ujerumani kupitia TANAPA kwa thamani ya shilingi 380,736,450 na kugawa vyandarua 400 kwa baadhi ya wananchi wa eneo hilo, kikundi cha Umoja wa bodaboda cha Morotonga.

Mwenge pia ulitembelea Shule ya Watoto wenye mahitaji maalum na kugawa viti vya kuwasaidia kutembea, ukazindua Chuo cha Ufundi cha World Changer na kutembelea daraja la Tabora B lenye thamani ya shilingi 253,769,071.75 ambalo lilizinduliwa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2023 kuangalia uendelevu wa mradi.

 Mkesha wa Mwenge wa Uhuru umefanyika katika Uwanja wa Right to Play, Mugumu na baada ya hapo Mbio za Mwenge wa Uhuru zitaendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime na makabidhiano yatafanyika katika Kijiji cha Kerende.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa