• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mtanda: Uchunguzi wa mauaji Butiama unaendelea

Posted on: May 30th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo ameshiriki msiba wa Mwandu Malegesi mmoja kati ya waendesha pikipiki (bodaboda) wanne waliouawa katika Wilaya ya Butiama na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia tarehe 27 Mei, 2023 na kuwataka wananchi kutulia wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi .

Akizungumza katika msiba huo na katika kijiwe cha bodaboda katika Kitongoji cha Kuoko, Kijiji cha Nyamikoma Wilaya ya Butiama Mhe. Mtanda amewataka wananchi kuwa watulivu na kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi wakati linaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.

“Tutapambana na jambo hili hadi wanaohusika wakamatwe ili matukio ya namna hii yasijitokeze tena katika Wilaya ya Butiama na Mkoa wa Mara” amesema Mheshimiwa Mtanda.  

Mheshimiwa Mtanda ametoa pole kwa wafiwa wote na kukemea vikali mauaji yaliyotokea katika Wilaya ya Butiama na kuahidi kushirikiana na wananchi kutokomeza vitendo hivyo.

“Mimi nina wajibu kusimamia usalama wenu na wananchi wote wa Mkoa wa Mara ……kama Serikali tunafahamu umuhimu wa usalama katika shughuli za usafirishaji mnazofanya na tunalichukua jambo hili kwa uzito unaostahili lakini tunaomba ushirikiano ili iwe rahisi kuwabaini wahusika” amesema Mhe. Mtanda.

Amewahakikishia waendesha bodaboda kuwa “Mimi pamoja na Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara tutafanya uchunguzi wa kina kwa sababu tukio hili ni mara ya tatu sasa linajirudia katika eneo hili” amesema Mhe. Mtanda.

Katika eneo hilo, Mkuu wa Mkoa amepokea kero mbalimbali za wananchi na bodaboda hao na kuzitolea ufafanuzi.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa