• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mtanda azindua Kliniki ya Ardhi Mara

Posted on: November 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo tarehe 21 Novemba, 2023 amezindua kliniki ya kusikiliza kero mbalimbali za ardhi Mkoa wa Mara katika uwanja wa Mkendo, Manispaa ya Musoma na kuwataka wananchi kutumia fursa hiyo kutoa kero zao.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Mhe. Mtanda ameeleza kuwa wananchi wakitumia fursa hiyo vizuri wataweza kutatua changamoto zinazowakabili katika masuala ya ardhi.

Mhe. Mtanda pia amewakemea watu wanaofanya usanii katika migogoro ya ardhi na kusubiri kujitokeza wakati wanapokuja viongozi wa kitaifa katika Mkoa wa Mara kutoa kero zao, lakini Serikali ya Mkoa inapotoa fursa hawajitokezi.

“Kama wewe ni kweli una kero, unakaa nayo muda mrefu, tunakuita hapa bure hutokei, unasubiri ziara za viongozi, wewe ni msanii na sisi tunajua namna ya kufanyakazi na wasanii” amesema Mhe. Mtanda.

Mhe. Mtanda ameitaka Ofisi ya Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Mara kuandaa rejesta ya migogoro ili inapotatuliwa iwe inafahamika kwa watendaji na viongozi wengine wanaokuja baadaye katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kliniki hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalfan Haule ameeleza kuwa Manispaa ya Musoma inadaiwa fidia na wananchi waliotoa maeneo yao kwa ajili ya kujenga taasisi za umma kama vile shule na vituo vya kutolea huduma za afya.

“Kwa sasa Manispaa inadaiwa shilingi milioni 600 za fidia za ardhi na wananchi mbalimbali na imejipanga kuanza kulipa kwa awamu kuanzia mwaka huu wa fedha” alisema Mhe. Haule.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa pia na Kamishna Msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Mara, Meya wa Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Musoma, Maafisa Ardhi kutoka Manispaa ya Musoma na Ofisi ya Kamishana wa Ardhi Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa