• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mtanda Ashiriki ujenzi wa Sekondari ya Wasichana Mkoa wa Mara

Posted on: September 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo tarehe 19 Septemba, 2023 ameendelea na ziara yake katika Wilaya ya Bunda ambapo amekagua na kushiriki ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mara inayojengwa katika eneo la Bulamba, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Katika ziara hiyo, Mhe. Mtanda ameshiriki kuchimba kifusi na kujaza kifusi katika baadhi ya majengo yanayoendelea kujengwa katika eneo hilo na kumwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri na Ofisi ya Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Miundombinu Mkoa wa Mara kufuatilia kwa ukaribu ujenzi wa shule hiyo.

“Wenzetu mikoa mingine shule hizi zimekamilika lakini kutokana na changamoto zilizokuwepo bado ujenzi wa shule hii unaendelea, niwaombe tuongeze kasi ya ujenzi wa shule hii” amesema Mhe. Mtanda.

Aidha, Mhe. Mtanda amemwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kumchukulia hatua mtumishi wa kitengo cha manunuzi ambaye hakuonekana ofisini kwa muda wa miezi mitatu bila kupewa ruhusa na mwajiri.

Mhe. Mtanda amewaagiza Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kusimamia utekelezaji wa miradi ili kuikamilisha kwa kutumia fedha zinazoletwa na Serikali badala ya kutafuta nyongeza au kutumia fedha za mapato ya ndani katika miradi hiyo.

Mheshimiwa Mtanda pia amewataka Maafisa Elimu wa Halmashauri na Waganga Wakuu wa Halmashauri kufuatilia kwaukaribu miradi ya sekta zao inapokuwa inatekelezwa.

Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa alitembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bunda na Sekondari ya Bunda Stoo  katika Halmashauri ya Mji wa Bunda na Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Mara, Shule ya Sekondari Sunsi, Shule ya Sekondari  kasuguti zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

 Katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa aliambatana na Mkuu wa Wilaya ya Bunda na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Bunda, Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Afya, wawakilishi wa Makatibu Tawala Wasaidizi sehemu za Elimu na Miundombinu, wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa taasisi za umma,  baadhi ya watumishi wa Halmashauri.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa