• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Msovela akaagua miundombinu Butiama

Posted on: November 5th, 2021

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Albert Gabriel Msovela leo tarehe 4 Novemba, 2021 amekagua miundombinu ya elimu inayojengwa kwa kutumia fedha za kupambana na UVIKO 19 katika Halmashauri ya Wilaya ya Butiama.

Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Bwana Msovela amezitaka Halmashauri za Mkoa wa Mara kuhakikisha kuwa miundombinu hiyo inakamilika kabla ya Desemba 1, 2021 ili kuruhusu wanafunzi wa kidato cha kwanza kuanza shule mapema.

“Kama alivyoelekeza Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi, miundombinu hii inatakiwa ikamilike kabla ya Desemba 1, 2021 kuruhusu wanafunzi kuanza masomo yao ifikapo Januari, 2021 bila kuchelewa”.

Aidha Bwana Msovela amezitaka Halmashauri kuhakikisha kuwa thamani ya fedha yaani value for money inaonekana katika ujenzi wa miradi hii.

Bwana Msovela ameeleza kuwa pamoja na miradi hiyo kujengwa ndani ya muda mfupi, amezitaka Halmashauri kufuata sheria, kanuni na miongozo inayotakiwa katika ujenzi huo.

Mkoa wa Mara umepokea shilingi 2, 380, 000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika Shule za Sekondari na shilingi 1,923,744,759.72 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika Shule Shikizi za Msingi.

Katika fedha zilizopokelewa katika Mkoa wa Mara, Halmashauri ya Wilaya ya Butiama imepokea shilingi 1,440,000,000.00 kwa ajili ya shule za sekondari na shilingi 200,000,000 kwa ajili ya kujenga madarasa katika Shule Shikizi za Msingi.

Ujenzi wa miundombinu za elimu katika Mkoa wa Mara umeanza katika Halmashauri zote na upo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa