• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa ataka uwajibikaji

Posted on: January 25th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo amefanya kikao na wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mara na kuwataka wafanyakazi hao kuongeza uwajibikaji katika utekelezaji wa majukumu yao.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Mtanda amewataka Wakuu wa Sehemu na Vitengo kufanya vikao na watumishi wanaowaongoza katika maeneo yao na kutenda haki katika maamuzi mbalimbali yenye maslahi kwa watumishi.

Mhe. Mtanda amewataka watumishi kuzingatia masuala ya uwajibikaji wa pamoja katika Sehemu, Vitengo na hata Sekretarieti nzima ya Mkoa wa Mara katika utekelezaji wa majukumu.

Amewataka wafanyakazi kujenga mahusiano na mawasiliano baina yao na baina yao na viongozi wa Serikali na wanasiasa ili kuweza kufanikiwa katika utekelezaj wa majukumu yao.

Ameitaka Menejimeti ya Sekretarieti ya Mkoa wa Mara kuandaa matukio ya kuwakutanisha watumishi nje ya ofisi ikiwa ni pamoja na ziara za watumishi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na maeneo mengine.

Mhe. Mtanda amewataka watumishi kuwa mabalozi wazuri wa namna Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na hususan Serikali ya Awamu ya Sita inavyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Mkoa wa Mara.

Akizungumza katika kikao hicho, Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu amemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuzungumza na wafanyakazi na kuahidi kutekeleza maagizo yake yote aliyoyatoa.

Bwana Makungu amemshukuru kwa kuwakumbusha wafanyakazi kuongeza uwajibikaji na weledi katika utendaji wao.

Katika hatua nyingine, leo Mkuu wa Mkoa pia amefanya kikao na Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya na Maafisa Tarafa wote wa Mkoa wa Mara katika ukumbi wa uwekezaji uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.

 Aidha, Mkuu wa Mkoa ameongoza kikao cha Tathmini ya utendaji kazi Mkoa wa Mara kilichohudhuriwa na viongozi wa Wilaya ya Menejimenti ya Halmashauri zote za Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa