• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mkoa wa Mara unaupungufu wa Maafisa Lishe

Posted on: June 24th, 2020

Mkoa wa Mara unakabiliwa na changamoto ya upungufu mkubwa wa Maafisa Lishe jambo linalosababisha utekelezaji wa majukumu ya kusimamia hali ya lishe katika ngazi ya mkoa.

Hayo yameelezwa leo na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt. Florian Tiguga wakati alipokuwa akifungua kikao cha Kamati ya Lishe ya Mkoa kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara.

“Kwa sasa Mkoa una Maafisa Lishe walioajiriwa watatu tu kati ya maafisa kumi ambao wanahitajika katika mkoa mzima”. Alisema Dkt. Tinuga.

Dkt. Tinuga ameeleza kuwa ili kukabiliana na changamoto hiyo Wakurugenzi wa Halmashauri wameteua maafisa wa kada nyingine kukaimu nafasi hizo jambo ambalo limesaidia kwa kiasi kuratibu shughuli za lishe katika Mkoa wa Mara.

“Kwa sasa tunaandaa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa lishe wote wa Mkoa wa Mara ili kuweza kuwajengea uwezo na kuwasistiza shughuli wanazotakiwa kufanya katika kuhakikisha suala la lishe linapewa kipaumbele katika bajeti, matumizi na mipango kazi ya halmashauri zote.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Mkoa wa Mara Bwana Paul Makali ameeleza kuwa kwa sasa Mkoa unakabiliwa na udumavu kwa watoto wenye chini ya miaka mitano.

“Watoto 133,507 kati ya watoto 460,368 wamedumaa, hii ni sawa na asilimia 29 ya watoto wote wenye chini ya miaka mitano katika Mkoa wa Mara wamedumaa” alisema Bwana Makali.

Aidha Bwana Makali ameeleza kuwa athari kubwa inayowapata watoto waliodumaa ni pamoja na kutokufundishika kiurahisi na hata wakiwa watu wazima hawawi na uelewa mzuri katika mambo mbalimbali.

“Tafsiri yake ni kwamba kwenye darasa la watoto 45 kuna watoto 13 ambao hawafundishiki kabisa kutokana na kukosa lishe bora hususan kwa siku 1000 za mwanzo” alisema Bwana Makali

Kikao hicho ambacho kinakaa mara nne kwa mwaka kimeazimia kuimarisha uzimamizi wa afua za lishe pamoja ikiwa ni pamoja na baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa kuhudhuria vikao vya lishe vya halmashauri mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa