• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. Mtanda aanza kazi Mara

Posted on: May 26th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohammed Mtanda leo tarehe 25 Mei, 2023 amewasili Mkoani Mara na kukabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee katika hafla fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Uwekezaji, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.

Awali, viongozi mbalimbali wakiwemo Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Mara, Kamati ya Usalama ya Mkoa, Makatibu Tawala wa Wilaya,  wamempokea Mheshimiwa Mtanda katika eneo la Ndabaka, Wilaya ya Bunda.

Baada ya mapokezi, Mhe. Mkuu wa Mkoa amefika katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara kwa ajili ya kutia saini kitabu cha wageni na kujitambulisha na kuzungumza na viongozi wa Chama cha Mapinduzi.

Msafara wa Mkuu wa Mkoa ulielekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara ambapo alipokelewa na viongozi wa taasisi za Umma, Wakuu wa Idara na Vitengo, watumishi  wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na viongozi wa CCM Mkoa wa Mara.

Hafla fupi ya makabidhiano ilifanyika katika Ukumbi wa Uwekezaji uliopo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara ambapo aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee alimkabidhi ofisi.

Akizungumza baada ya kukabidhiwa ofisi, Mheshimiwa Mtanda amewataka  viongozi na watumishi wote kushirikiana na kufanyakazi kwa ubunifu, uadilifu na uaminifu ili kuwahudumia wananchi wa Mkoa wa Mara kwa ufanisi.

“Sisi sote tuna wajibu wa kutekeleza ili kuwaletea maendeleo wananchi wa Mkoa wa Mara na ndio maana tupo hapa katika Mkoa huu, tutimize wajibu wetu” alisema Mheshimiwa Mtanda.

Aidha, ametumia nafasi hiyo Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.

Mhe. Mtanda amehitimisha siku kwa kushiriki katika Kikao cha Kamati ya Siasa ya Manispaa ya Musoma na Viongozi wa Mitaa na Kata za Manispaa ya Musoma.

Mhe. Mtanda aliteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 23 Mei, 2023 na kuapishwa rasmi tarehe 24 Mei, 2023.    

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa