• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mhe. David Silinde kuanza ziara Mara

Posted on: December 5th, 2022

Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mheshimiwa David Ernest Silinde leo tarehe 26 Novemba, 2022 anatarajia kuanza ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Mara kukagua ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya mapokezi ya wanafunzi Januari, 2023.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara inaonyesha kuwa katika ziara hiyo, Naibu Waziri atatembelea Wilaya za Musoma, Tarime na Bunda.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tarehe 26 Novemba, 2022 ziara ya Mheshimiwa Silinde itaanzia Halmashauri ya Wilaya ya Musoma ambapo atatembelea Shule ya Sekondari ya Ifulifu, Shule ya Sekondari ya Suguti na Shule ya Sekondari ya Makojo wakati akiwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, Mheshimiwa Silinde atatembelea Shule ya Sekondari ya Buhare, Shule ya Sekondari ya Mwisenge na Shule ya Sekondari ya Kiara.

Tarehe 27 Novemba, 2022 Mheshimiwa Silinde atatembelea Halmashauri ya Wilaya ya Tarime katika Shule ya Sekondari ya Nyibara, Shule ya Sekondari ya Nyantira na Shule ya Sekondari ya Kemambo. Akiwa katika Halmashauri ya Mji wa Tarime atatembelea Shule ya Sekondari ya Nyamisangura, Shule ya Sekondari ya Ignana na Shule ya Msingi Turwa kukagua ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Mheshimiwa Silinde tarehe 28 Novemba, 2022 atatembelea Halmashauri ya Wilaya ya Bunda katika Shule ya Sekondari Hunyari, Shule ya Sekondari Salama na Shule ya Sekondari Tingirima. Akiwa katika Halmashauri ya Mji wa Bunda atakagua Shule ya Sekondari ya Bunda, Shule ya Sekondari ya Nyamakokoto.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Silinde ataambatana na viongozi wa Mkoa, Wilaya na Halmashauri husika.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa