• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yazindua utoaji wa chanjo ya HPV

Posted on: April 23rd, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Musoma Bwana Ally. S. Mwendo leo amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mara katika uzinduzi wa zoezi la utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa mabinti wenye umri wa miaka 9-14 kimkoa iliyofanyika katika Shule ya Msingi Mkendo.

Akizungumza katika uzinduzi wa zoezi hilo, Bwana Mwendo amewatakaa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wao wakike wanapata chanjo hiyo kwani ni salama na inatolewa bure katika  shule za msingi na sekondari na vituo vya kutolea huduma za afya.

“Chanjo hii inatolewa katika kampeni hii ya siku tano za wiki ya chanjo duniani, ni ile ile inayotolewa wakati wote na inatolewa bure, haina madhara na nimuhimu sana kwa mabinti ili kujikinga dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi hapa nchini” amesema Bwana Mwendo.

Ameitaja kauli mbiu ya zoezi hilo kuwa ni Jamii inayochanjwa, Jamii yenye afya na kuwataka wananchi kuachana na imani potofu na taarifa zisizo rasmi na badala yake wawasikilize suhauri wa wataalamu wa sekta ya afya.

Kwa upande wake, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Dkt. Zabron Masatu ameeleza kuwa Tanzania kupitia Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wameandaa chanjo ya saratani ya kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 9-14.

Dkt. Masatu ameeleza kuwa utoaji wa chanjo hiyo katika Mkoa wa Mara umeanza tarehe 22-26 Aprili, 2024 kuanzia saa 1.30 asubuhi hadi saa 10 jioni katika shule za msingi, sekondari na katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Kwa mujibu wa Dkt. Masatu jumla ya wasichana 229,249  wenye umri wa miaka 9-14 wanategemewa kupatiwa chanjo hiyo katika Halmashauri zote tisa za Mkoa wa Mara.

Uzinduzi wa zoezi la chanjo umehudhuriwa na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Musoma, Wasimamizi wa Afya, Maafisa Elimu na watumishi wengine ngazi ya Mkoa na Manispaa ya Musoma.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa