• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yawataka wananwake kutoa taarifa za Unyanyasaji wa Kijinsia

Posted on: March 6th, 2020

Uongozi wa Mkoa wa Mara umewataka wanawake wote wenye changamoto mbalimbali za ukatili wa kijinsia kutoa taarifa kwa mamlaka na vyombo vya dola bila kujali makundi yanayowatishia kutoa taarifa ili kukomesha vitendo hivyo.

Hayo yameelezwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt. Vincent Naano katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika Manispaa ya Musoma yaliyofanyika katika Viwanja vya Mukendo, Musoma mjini tarehe 5 Machi 2020.

“Tunaelewa kuna watu wanawatishia msitoe taarifa, lakini nyie fikeni ofisi zote wa Wakuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa na vyombo vya ulinzi na usalama ili kutoa taarifa na serikali ya Mkoa itashughulikia masuala yote ya unyanyasaji wa kijinsia ili kuhakikisha mnapata haki zenu”  alisema Dkt. Naano.

Amesema kuwa pamoja na kuwa Mkoa umepiga hatua za kimaendeleo lakini kwa kiasi fulani bado Mkoa unachangamoto ya matatizo ya unyanyasaji wa kijinsia na mpaka sasa kuna baadhi ya watu wanaowanyanyasa wanawake ikiwa ni pamoja na kuwazuia wanawake kufanyazi na kumiliki mali.  

Wakati huo huo, mgeni rasmi wa sherehe hizo Mheshimiwa Gaudensia Kabaka, Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Tanzania (CWT) amewahimiza wanawake wote kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na serikali ili kujiletea maendeleo wao wenyewe, familia zao na taifa kwa ujumla. 

Aidha amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. “Wanawake wote wenye uwezo mchukue fomu za kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa mwaka 2020” alisema Mheshimiwa Kabaka. 

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa MKoa wa Mara, Bibi Karolina Mthapula amemshukuru sana mgeni rasmi kwa kukubali kuja katika hafla ya Siku ya Wanawake Duniani katika Manispaa ya Musoma.

Amewataka wanawake wote wachangamkie fursa mbalimbali zinazojitokeza kwa ajili ya kuongeza vipato vya familia zao na jamii kwa ujumla.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa