• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yawataka wananchi kushiriki uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Posted on: September 3rd, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Gerald Musabila Kusaya leo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Evans Alfred Mtambi ametoa taarifa ya maandalizi ya zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakalofanyika Katika Mkoa wa Mara tarehe 4-10 Septemba, 2024.  

“Ninawaomba wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ili kutumia haki ya kikatiba kuweza kushiriki katika kuchagua viongozi katika chaguzi zijazo” amesema Bwana Kusaya.  

Bwana Kusaya amesema maandalizi yote ya zoezi hili yamekamilika na tayari vifaa vya kuandikishia tayari vimeshasambazwa katika vituo vya 1,597 vitakavyotumika katika Mkoa wa Mara vilivyopo katika majengo ya umma katika vituo maeneo yaliyotumika katika uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mwaka 2019/2020. 

Bwana Kusaya amesema katika zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura vituo vya kujiandikishia vitafunguliwa kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa 12.00 jioni kwa siku zote saba na kauli mbiu yam waka huu ni “Kujiandikisha kuwa mpiga kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora”.

Bwana Kusaya amesema zoezi hili litawahusisha watu wanaojiandikisha kwa mara ya kwanza ambaye anatakiwa kuwa ni raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ambaye hakuwa kujiandikisha hapo awali na atakayetimiza miaka 18 ifikapo tarehe ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Aidha, zoezi litawahusisha wananchi wanaoboresha taarifa zaa ambao wamehama eneo la awali alipojiandikishia, taarifa zake za awali zilikosewa na au amepoteza au kadi yake kuharibika na mwananchi aliyepoteza sifa za kuwemo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura mfano mtu aliyefariki.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa