• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yawahakikishia wananchi usalama wakati wa sikukuu

Posted on: December 19th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amezungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake na amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mara usalama katika kipindi chote cha sikukuu za Noeli na Mwaka Mpya.  

“Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara imejipanga vizuri kuhakikisha kuwa Mkoa wetu unakuwa eneo salama wakati wote wa sikukuu hizi za mwisho wa mwaka” amesema Mhe. Mtambi,

Mhe. Mtambi amewataka wananchi wa Mkoa wa Mara kutii sheria bila shuruti na kujiepusha na vitendo vya kiuhalifu na ametoa onyo kwa wanaopanga kufanya uhalifu wakati huu wa sikukuu kuacha kwani vyombo vya usalama vimejipanga kukabiliana na vitendo vya kihalifu.

Mhe. Mtambi amelitaka Jeshi la Polisi kuongeza doria katika maeneo yote wanayoishi wananchi na kuchukua hatua stahiki za kuzuia ajali barabarani kwa kuwadhibiti madereva wanaoendesha vyombo vya moto kwa uzembe na kuhatarisha maisha ya watu na mali zao.

“Ninawataka Askari wa Usalama barabarani kuanzia leo kuwa wakali kweli kweli na kuwachukulia hatua  za kisheria madereva wazembe barabarani,….hatuko tayari kuona wananchi wakipata madhira kipindi hiki cha sikuukuu” amesema Mhe. Mtambi.

Mhe. Mtambi amewataka wananchi kutokuendesha vyombo vya moto wanapokuwa wamekunywa vileo na kuwataka kuchukua tahadhari za usalama ili kulinda usalama wao na familia zao wakati huu wa sikukuu.

Mhe. Mtambi amewataka wazazi na walezi kuendelea kusimamia maadili ya watoto wadogo kwa kuwazuia kwenda kwenye kumbi za starehe bila ya kuwa na uangalizi wa kutosha na hususan nyakati za usiku.

Kanali Mtambi amewakumbusha wazazi na walezi wakati wanasherekea sikukuu kukumbuka kutenga fedha za ada na mahitaji muhimu ya shule kwa ajili ya watoto ili kuwawezesha watoto kwenda shule shule zitakapofungua tena.

Mhe. Mtambi ametumia pia fursa hiyo kuwatakia wananchi wote wa Mkoa wa Mara heri ya sikukuu ya Noeli na Mwaka Mpya, 2025.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa