• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara Yatoa Ekari 124 kwa ajili ya kuimalisha usalama katika Ziwa Victoria

Posted on: March 5th, 2020

Mkoa wa Mara umetoa eneo la ekari 124 katika kijiji cha Nyabange, Wilaya ya Butiama katika fukwe za Ziwa Victoria kwa ajili ya upanuzi wa shughuli za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikosi cha Wanamaji.

Akizungumza katika ziara yake ya kukagua eneo hilo,  Mkuu wa Majeshi ya Tanzania Jenerali Venance Mabeyo ameushukuru Mkoa wa Mara na mmiliki wa awali wa eneo hilo kwa kukubali kutoa eneo hilo kwa ajili ya ulinzi wa nchi.

“Eneo hili ni zuri na kubwa na linakidhi mahitaji ya jeshi kwa sasa, tunashukuru sana” alisema Jenerali Mabeyo.

Akizungumza wakati wa kuonyesha mipaka ya eneo hilo, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Adam Kighoma Malima amesema amefurahi uamuzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kuamua kupanua shughuli zake katika Ziwa Victoria na kuweka kikosi kikubwa katika Mkoa wa Mara.

Mhehsimiwa Malima alisema kuwa awali Mara ilikuwa na kikosi kiteule cha wanamaji ambacho kutokana na ufinyu wa eneo na udogo wake hakikuweza kutekeleza majukumu yake kikamilifu.

Ameeleza pia kutokana na juhudi za pamoja wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama Mkoa wa Mara, Mkoa umefanikiwa kudhibiti uvuvi haramu, magendo ya samaki na kuongeza mapato yatokanayo na Ziwa Victoria. “Kwa sasa hata upatikanaji wa samaki katika Ziwa Victoria hususan kwa Mkoa wa Mara umeboreshwa sana” alisema Mheshimiwa Malima.

Kwa mujibu wa Mheshimiwa Malima, Mkoa wa Mara ndio wenye eneo kubwa la Ziwa Victoria na raslimali nyingi za ziwa kwa sasa baada ya mgawanyo wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Wilaya ya Rorya ndio wilaya pekee hapa nchini ambayo eneo lake kubwa lipo mwambao mwa ziwa.

“Kujengwa kwa kikosi cha wanamaji hapa Nyabange kutaleta manufaa makubwa ya kiuchumi, kijamii na kiusalama kwa wananchi wote wa Mkoa wa Mara na Tanzania kwa ujumla” Alisema Mheshimiwa Malima.

Kwa upande wake mmiliki wa awali wa eneo hilo Mzee Samweli Wambura Kishamuri alisema awali yeye alikuwa na eneo la ekari 240 na kati ya hilo ekari 124 ametoa kwa serikali na ekari 116 amebaki nazo mpaka sasa.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa