• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yapongezwa ufaulu wa kidato cha sita 2023

Posted on: April 23rd, 2024

Umoja wa Maafisa Elimu Mikoa na Halmashauri hapa nchini (REDEOA) umeupongeza Mkoa wa Mara kwa kufanya vizuri katika mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita (ACSEE) mwaka 2023 ambapo Mkoa wa Mara ulifaulisha kwa asilimia 100.

Pongezi za kufaulisha zimetolewa katika mkutano mkuu wa 10 wa REDEOA uliofanyika katika Jiji la Mbeya kuanzia tarehe 15-16 Aprili, 2024 ambapo Mkoa wa Mara ulikabidhiwa cheti cha pongezi.  

Cheti cha pongezi kilichotolewa na REDEOA kimesainiwa na Mwenyekiti wake Michael C. Ligola kimeeleza kuwa REDEOA inatambua jitihada zilizofanywa na Mkoa wa Mara katika kuboresha taaluma.

Katika tihani huo, Mkoa wa Mara ulikuwa na jumla ya watahiniwa 3091 ambapo wavulana walikuwa 2002 na wasichana walikuwa 1089 ambapo matokeo yanaonyesha kuwa jumla ya wanafunzi 1720 walipata daraja la kwanza, 1151 walipata daraja la pili, daraja la tatu 216,  mtahiniwa mmoja alipata daraja la nne na watahiniwa 15 hawakufanya mtihani kwa sababu mbalimbali.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara inaonyesha kuwa kwa matokeo hayo Mkoa uliongeza ufaulu kwa asilimia 0.9 ukilinganisha na mwaka 2022 ambapo ulifaulisha kwa asilimia 99.1 .

Aidha, katika matokeo hayo, Shule za Sekondari Bunda na Natta zimefanikiwa kuingia kwenye kumi bora za makundi yao huku Shule ya Sekondari ya Tarime imeongoza kitaifa kwa kuwa na watahiniwa wengi waliofaulu kwa daraja la kwanza baada ya watahiniwa wake 357 kupata daraja la kwanza.

Shule za Sekondari za Natta (Serengeti), Songe (Manispaa ya Musoma) na Buturi (Rorya) wanafunzi wake wote walipata daraja la kwanza na la pili tu.

Taarifa hiyo inaonyesha kuwa asilimia 55 ya watahiniwa wote walichaguliwa kuingia kidato cha tano wakiwa na ufaulu wa daraja la tatu.

Katika matokeo hayo, Halmashauri ya Mji wa Bunda iliongoza kimkoa ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, Halmashauri ya Mji wa Tarime, Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Manispaa ya Musoma na Halmashauri ya Wilaya ya Butiama.

Halmashauri ambazo hazikufanya vizuri katika matokeo hayo ni Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa