• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yakabidhi kituo cha Kulelea watoto yatima

Posted on: April 29th, 2020

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bibi Karolina Mthapula leo tarehe 29 Aprili 2020 amekabidhi kituo cha Kulelea Watoto cha Musoma Children’s Home kwa Sista Hellena Ntambulwa.

Akizungumza katika makabidhiano rasmi ya kituo hicho, Bibi Mthapula ameeleza kuwa anategemea kituo hicho kitatunzwa vizuri kama kilivyo sasa na kitaboreshwa pale inapohitajika.

“Ni matumaini yetu kuwa kituo hiki kitatunzwa kipendeze kama ilivyo sasa na kuboreshwa endapo maboresho yatahitajika kwa mujibu wa mkataba” alisema Bibi Mthapula.

Aidha amemtahadharisha Sista Hellena kupata usajili wa kituo hicho kabla ya kuanza kutumika tena kuwalea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Kwa upande wake Sista Hellena ameshukuru uamuzi wa uongozi wa Mkoa wa Mara wa kuwapatia kituo hicho ili aweze kuendelea kulea watoto yatima.

Sista Hellena ambaye aliambatana na baadhi ya watoto na walezi wa watoto hao ameshukuru ushirikiano alioupata kutoka kwa viongozi wa Mkoa wa Mara tangu alipoonyesha nia ya kuendesha kituo hicho.

Sista Hellena ni mmiliki na msimamizi wa kituo cha Bikira Maria ambacho kinatunza watoto wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na wenye ulemavu wa ngozi, kilichopo Lamadi, wilaya ya Busega katika Mkoa wa Simiyu.

Kituo cha Musoma Children’s Home ni kituo cha serikali kilianzishwa na Mama Lisbeth Granrundu na mumewake Bwana Danel Granrud ambao wamestaafu na kukirudisha kituo hicho serikalini Januari 2020. Kituo kipo katika eneo la Bweri, Kiwanja Na. 58, Kitalu D chenye ukubwa wa hekta 6.64 pamoja na nyumba sita na mali mbalimbali.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa