• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yajipanga kutekeleza miradi

Posted on: November 5th, 2021

Mkoa wa Mara umeanza maandalizi ya kutelekeza miradi ya Elimu na Afya ambayo imeletwa kutokana na fedha za maambikizi ya Uviko 19 na sehemu ya fedha za zilizotokana na tozo.

Akizungumza katika ufunguzi wa kikao cha wasimamizi wa Mkoa wa miradi ya Elimu na Afya kilichofanyika leo tarehe 18 Oktoba 2021 katika Ukumbi wa Uwekezaji, Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi ameeleza kuwa fedha za miradi zilizoletwa wakati huu ni nyingi.

“Haya ni mapinduzi makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wake Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ili kuimarisha huduma za jamii katika maeneo ya Elimu, Afya, Barabara na kadhalika” alisema Mheshimiwa Hapi.

Ameeleza kuwa serikali imeleta shilingi 1,550,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya sita kutokana na fedha za tozo; shilingi 3,190,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya huduma za dharura; na shilingi 1,400,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 618 ya shule za sekondari kupitia Mpango wa Maendeleo ya Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19.

Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa katika fedha zilizoletwa hamna bajeti ya usimamizi na ufuatiliaji wa mradi hii na hivyo hatarajii watendaji kutumia fedha hizo kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji.

Kikao cha Mkoa cha kujadili utekelezaji wa miradi hiyo kiliazimia kuanzisha mfumo wa kidigitali wa kufuatilia utekelezaji wa miradi yote inayotelezwa ndani ya Mkoa ili kuweza kupata taarifa za miradi hiyo kila siku.  

Amewaelekeza Wakurugenzi wa Hamashauri kuhakikisha kuwa madarasa yanayoenda kujengwa kwa kutumia fedha hizo ni mapya na sio kukamilisha maboma yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi.

“Tunataka miradi hii ijitegemee na isichanganywe na maboma yaliyojengwa na wananchi au Halmashauri hapo awali” alisema Mheshimiwa Hapi.

Mheshimiwa Hapi amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri kuunda kamati za ujenzi ndani ya wiki hii na kuanza kutafuta sehemu ya kupata vifaa vya ujenzi wakati wakisubiri maelekezo kuhusu matumizi ya fedha hizo kutoka serikalini. 

Amewataka Wakuu wa Wilaya na Wakrugenzi wa Halmashauri kuwatangazia vijana fursa zinazotokana na miradi hii katika maeneo yao ili waweze kuchangamkia fursa hizo.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa