• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yajipanga kuanza kulima Mkonge

Posted on: February 23rd, 2021

Mkoa wa Mara unampango wa kuanza kulima zao la mkonge kama zao kuu la biashara kwa wakazi wa Mkoa wa Mara katika msimu huu wa kilimo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 19 Februari 2021, Mkuu Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amesema kwa kuanzia Mkoa umeazimia kulima ekari 6,000 katika halmashauri za wilaya za Bunda, Butiama, Musoma, Rorya, na Serengeti. 

“ Kwa sasa tayari halmashauri hizi zimetenga maeneo ya ekari 10 kila mmoja kwa ajili ya kuanzisha vitalu vya miche ya mkonge na kisha kuwagawia wakulima watakaolima mkonge katika Mkoa wa Mara.

Mheshimiwa Malima ameeleza kuwa ili kulima ekari hizi 6,000 Mkoa umeaagiza miche 10,400,000 kutoka Tanga.  

Aidha Mheshimiwa Malima ameeleza kuwa Mkoa pia kwa kushirikiana na Pamba Mara Cooperative Limited unampango wa kuchukua mkopo wa shilingi bilioni 2.5 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kwa ajili ya kufadhili shughuli za uendelezaji wa zao la Mkonge katika Mkoa wa Mara.

“Fedha hizi pamoja na mambo mengine zitatumika kulima shamba, kununua matrakta matatu, kufanya utafiti wa udongo, kufadhili gharama za mafunzo ya maafisa ughani 40 ambayo yatatolewa na Chuo Kikuu cha Mwalimu J. K. Nyerere, Butiama” alisema Mheshimiwa Malima.

Aidha mheshimiwa Malima ameeleza kuwa katika malengo ya muda mrefu, Mkoa wa Mara unampango wa kulima ekari 30,000 za zao la mkonge katika halmashauri hizo sita.

Amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri, waandishi wa habari na wadau wengine kuhamasisha kilimo cha zao la mkonge katika halmashauri zao ili kuweza kuinua hali ya uchumi wa wananchi wa Mkoa wa Mara.

 Kwa mujibu wa Mheshimiwa Malima Mkonge sio zao geni katika Mkoa wa Mara liliwahi kulimwa miaka ya zamani katika baadhi ya maeneo hata hivyo baadaye liliachwa kutokana na kukosa usimamizi na soko la uhakika.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa