• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yaingia kumi bora idadi ya watu nchini

Posted on: November 1st, 2022

Mkoa wa Mara umeshika nafasi ya kumi Kitaifa kwa wingi wa idadi ya watu katika Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 iliyotangazwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan tarehe 31 Oktoba, 2022.

Katika matokeo hayo Mkoa wa Mara umekuwa ni Mkoa wa kumi Kitaifa ukiwa na jumla ya watu 2,372,015 ambapo kati ya watu wote waliopo wanaume ni 1,139,511 na wanawake ni 1,232,504.

Mkoa unaoongoza kwa idadi ya watu ni Dar es Salaam (5,383,728), ukifuatiwa na Mkoa wa Mwanza (3,699,872), Mkoa wa Tabora (3,391,679), Mkoa wa Morogoro (3,197,104), Mkoa wa Dodoma (3,085,625) na Mkoa wa Kagera (2,989,299).

Mikoa mingine yenye idadi kubwa ya watu ni Mkoa wa Geita (2,977,608), Mkoa wa Tanga (2,615,597), Mkoa wa Kigoma (2,470,967) na kufuatiwa na Mkoa wa Mara ambao kwa mujibu wa matokeo hayo umewazidi kwa idadi ya watu mikoa mingine yote iliyobakia.

Aidha kwa Tanzania Bara Mkoa wenye idadi ndogo ya watu ni Njombe wenye jumla ya watu 889,946 ukifuatiwa na Mkoa wa Katavi (1,152,958), Mkoa wa Iringa (1,192,728) na Mkoa wa Lindi wenye watu 1,194,028.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa matokeo hayo, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameeleza kuwa kuwa Tanzania ina jumla ya watu 61,741,120 ambapo kati yao wanawake ni 31,687,990 ambao ni asilimia 51 huku wanaume wakiwa 30,053,130 ambao ni sawa na asilimia 41 ya watu wote.

Mheshimiwa Samia ameeleza kuwa kati ya watanzania wote waliohesabiwa, Tanzania Bara wapo 59,851,347 huku Tanzania Zanzibar ikiwa na jumla ya watu 1,889,773.

Aidha, Mheshimiwa Rais amesema kwa mara ya kwanza tangu tupate Uhuru Tanzania imefanikiwa kufapata taarifa za majengo na anuani ya makazi, taarifa hizi zina umuhimu mkubwa wa kufuatilia na kutathmini sera za mipango miji hapa nchini.

Aidha, taarifa hiyo ineonyesha kuwa vituo vya kutolea huduma za afya 10,067 majengo yote 14,348,372 na kati ya hayo Tanzania Bara yapo 13,907,951 na Tanzania Zanzibar yapo 440,421 wakati shule zikiwa 25,626.

Msheshimiwa Samia ametoa pongezi kwa wananchi wote kwa kutoa ushirikiano wao kufanikisha zoezi la sensa na kamati za ngazi zote zilizofanikisha zoezi la sensa hapa nchini.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa