• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yaboresha Ikulu

Posted on: May 18th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam kighoma Ali Malima leo tarehe 18 Mei 2020 amekabidhiwa rasmi majengo mawili yaliyojengwa kwa ajili ya walinzi na watoa huduma wa Ikulu ndogo ya Musoma kwa ajili ya matumizi.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa majengo hayo, Mheshimiwa Malima amemshukuru Katibu Tawala na Menejimenti ya Mkoa wa Mara kwa kusimamia ujenzi huo na kukamilisha kwa wakati.

“Mimi ninashukuru sana kwa mradi huu kutekelezwa vizuri na kwa wakati itatusaidia sana kama tutapata ziara ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wakati huu” alisema Mheshimiwa Malima.

Hata hivyo Mheshimiwa Malima ameagiza kuanza mchakato wa kuomba fedha za ukarabati wa jengo la zamani ambalo kwa sasa halitumiki tena kutokana na uchakavu.

“Hili jengo japokuwa limechakaa sana lakini bado ni imara na ukarabati unaohitajika hapa ni mkubwa hususan paa ili liweze kufanana na mapaa ya majengo mengine hapa ndani” alisema Mheshimiwa Malima.

Mradi huu wa ukarabati ulihusisha ujenzi wa nyumba ya walinzi na nyumba moja ya mtumishi, ukarabati wa mfumo wa maji taka na maboresho katika mfumo wa umeme na ulitekelezwa kwa mfumo wa force account.   

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bibi Karoline Mthapula ameeleza kuwa mradi huu umeghalimu kiasi cha shilingi 172,513,385.60 ambazo zilitolewa na serikali na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa iliongeza fedha kidogo.

Bibi Mthapula ameeleza kuwa kati ya fedha hizo zote shilingi 94,528,536.40 zilinunua vifaa, ushauri wa kitaalamu uligharimu shilingi 8,778,900.00 wakati ufundi na baadhi ya vifaa vilivyonunuliwa na mkandarasi vilikuwa na jumla ya shilingi 68,253,524.60.

Bibi Mthapula ameeleza kuwa ujenzi na ushauri wa kitaalamu katika mradi huu ulitolewa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).Amewashukuru wajumbe wote wa kamati za ujenzi zilizohusika kwa kazi kubwa walioifanya ili kufanikisha shughuli ya ujenzi.

“Ninawashukuru pia Mkurugenzi wa Manispaa ya Musoma, Mkurugenzi wa Wilaya ya Rorya, TANESCO, Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (MUWASA) kwa ushiriki wao katika hatua mbalimbali za utekelezaji wa mradi huu” alisema Bibi Mthapula.

Bibi Mthapula ameahidi kuomba fedha katika bajeti ya mwaka 2021/2022 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa uzio na kukarabati jengo la Ikulu hiyo ili liweze kutumika kuwahudumia viongozi.

Kwa upande wake, Bwana Dominicus Lusasi, Afisa Tawala, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa mradi huu ulipangwa kutekelezwa kwa muda wa miezi saba hata hivyo muda uliongezeka kutokana na changamoto mbalimbali.

Bwana Lusasi amezitaja changamoto kubwa kuwa ni pamoja na mfumo wa malipo ya serikali kusimama ilipofika Juni 2019 na hivyo kuchelewesha malipo ya mradi; kuchelewa kupatikana baadhi ya vifaa kwa wakati na maboresho ya michoro katika majengo wakati mradi unaendelea.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa