• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAlima awataka Nyamongo Kujiongeza

Posted on: May 6th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amewataka wananchi wa eneo la Nyamongo wanaoishi jirani na mgodi wa Barrick North Mara kujiongeza kwa kuunda vikundi vya uzalishaji mali ili kujiletea maendeleo.

Mheshimiwa Malima alitoa kauli hiyo tarehe 5 Mei 2020 wakati akizungumza na wananchi wa Nyamongo kuhusiana na malipo ya fidia kwenye maeneo yao yatakayochukuliwa na Mgodi wa Barrick North Mara.

“Jipangeni sasa muanzishe vikundi vya uzalishaji mali maeneo yapo na masoko hapa tunayo ya uhakika kama tutazalisha kwa kufuata kanuni za kitaalamu” alisema Malima.

Aliwaambia wananchi kuuona mgodi wa Mgodi wa North Mara kama fursa ambayo Mungu aliiweka hapo na sio kama adau wanaehitaji kugombana nae kila wakati. Amewaahidi pia wakizalisha vitu vizuri ambavyo vinaweza kutumika mgodini yeye atawasaidia kuuomba mgodi ili uweze kununua ili kujikomboa kiuchumi.

“Mkizalisha hapa mayai, maziwa, nyama, vyakula vingine kwa wingi na kwa ubora, hawa (Mgodi wa North Mara) hawatanunua kutoka mbali wakati hapa vipo na sisi kama serikali tutahakikisha mnapata ninyi kwanza” Alisema Malima.

Aliwashauri watakaoanzisha vikundi kama watahitaji mtaji wa kuendeleza uzalishaji wao kuwasiliana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime ambaye anafedha za kuwezesha vikundi vya vijana, walemavu na wanawake katika shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Mtemi Msafiri ameeleza kuwa Nyamongo ni eneo linalofaa sana kwa ajili ya uwekezaji mkubwa kwa sababu soko lipo.

“Mkakati wa Wilaya kwa sasa ni kuanzisha shughuli ya kilimo cha mpunga karibu na eneo hili na kuuzalisha kwa wingi ili tuweze kuwaomba wenzetu wa mgodi waununue” alisema Eng. Msafiri.

 Eneo la Nyamongo ni eneo linalozunguka Mgodi wa Barrick North Mara ambalo kwa muda mrefu wananchi wake walikuwa wanaruka ukuta na kuingia mgodini kuchukua mabaki ya mchanga katika mgodi huo kitu ambacho kimekuwa kikihatarisha maisha yao.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa