• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

'Maafisa Habari, TEHAMA ni Mawakala wa Mabadiliko’

Posted on: February 12th, 2018

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mara, RaphaelJoseph Nyanda, amewakumbusha Maafisa Habari na Maafisa wa Teknolojia ya Habarina Mawasiliano (TEHAMA) nchini kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia weledi,maarifa na ubunifu, kwakuwa wao ni mawakala wa mabadiliko.

 

 

Akifungua kikao cha siku nne mkoani humo kilichoandaliwa naOfisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwakushirikiana na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3), NduguNyanda amewatahadharisha maafisa hao kuwa endapo watazembea kutekeleza wajibuwao wa msingi kwa weledi, watu wengine watapotosha umma.

“Kilammoja miongoni mwenu anayo dhamana ya kutangaza mambo mazuri yanayofanywa naSerikali, lakini mkikaa kimya ninyi kama sauti za taasisi zenu, watu wasio wemawatapotosha maudhui hayo na mwisho wa siku kuchafua taswira ya Serikali”amesisitiza Nyanda.

Akizungumzawakati wa kumkaribisha mgeni rasmi, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,Bi Rebbeca Kwandu, amewasisitizia maafisa hao kubadilika katika utendaji waomara baada ya mafunzo ya mfumo huo juu ya uendeshaji wa tovuti.

“Mwanzonitulipoanzisha tovuti hizi, hatukuwa na mwongozo ambao ni dira yauendeshaji.  Hata hivyo mara baada ya OR-TAMISEMI kuandaa mwongozo huu kwakushirikiana na wadau wetu PS3, ni imani yangu tutabadilika,” alisema Bi.Kwandu, na kuongeza kwamba uwepo wa tovuti bila ya uwepo wa habari haina maana.

Akizungumzakwa niaba ya Mradi wa PS3, Mkuu wa Utawala Bora na Ushirikishwaji wa Wananchi,Dkt. Peter Kilima, amekiri kwamba Maafisa Habari na Maafisa TEHAMA ndio roho yataasisi, hivyo ushirikishwaji hasa kwenye vikao vya maamuzi itakuwa ni fursakwao kuchuja na kuujuza umma mambo mazuri ya nchi.

Awaliakitoa Salaam za Idara ya Habari (Maelezo), Mkurugenzi Msaidizi wa Habari naPicha, Rodney Thadeus, aliesema kwamba ili kutangaza mambo mazuri yanayofanywana Serikali, ni lazima Maafisa Habari wawe na zana za utendaji kazi, na zanazenyewe katika mustakabali wa sasa kwa ngazi za Mikoa na Mamlaka za Serikali zaMitaa ni tovuti.

“WafadhaliPS3 wametuwezesha kuwa na mfumo wa Government Website Framework (GWF). Tumieni hizi tovuti kama tools (zana) za kuujuzaumma.

Mafunzohaya ya siku nne ni ya awamu ya kwanza kwa Maafisa Habari na Maafisa TEHAMAkutoka mikoa ya Mara na Arusha, na mafunzo kama haya yatafanywa pia kwa maafisakutoka mikoa mingine yote iliyobaki ya Tanzania bara.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa