• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kusaya awaalika wananchi kushiriki Maadhimisho ya Wazee

Posted on: June 6th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Gerald Kusaya amezungumza na waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wazee ambayo kitaifa yanatarajiwa kufanyika katika Wilaya ya Bunda, Mkoa wa Mara tarehe 13-15 Juni, 2024.

Bwana Kusaya amesema maadhimisho hayo yanatarajiwa kuanza kufanyika tarehe 13 Juni, 2024 kwa wazee kushiriki michezo mbalimbali itakayofanyika katika Shule ya Sekondari ya Bunda na zoezi la kupima afya litakalofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Miembeni.

“Zoezi la kupima afya kwa wazee wote litakuwa bure na litafanywa na wataalamu wetu wa afya waliopo katika Mkoa wa Mara na wazee watapatiwa matibabu katika viwanja hivyo” amesema Bwana Kusaya.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, tarehe 14 Juni, 2024 kutakuwa na kongamano litakalojadili masuala mbalimbali ya Wazee ambalo litafanyika Chuo cha Ualimu Bunda na kufuatiwa na ziara ya Wazee nyumbani kwa Baba wa Taifa  Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Bwana Kusaya amesema kilele cha maadhimisho hayo itakuwa ni tarehe 15 Juni, 2024 na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wananwake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb.).

Bwana Kusaya amesema kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni: Utu, Usalama na Ustawi ni nyenzo ya Kutokomeza vitendo vya Ukatili dhidi ya Wazee na kuwaomba wananchi wote kujitokeza kushiriki katika matukio mbalimbali ya maadhimisho haya.

Bwana Kusaya amezungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha kikao cha tatu cha maandalizi kilichowahusisha viongozi, watumishi wa umma na wadau mbalimbali kilichofanyika katika ukumbi wa Herieth uliopo katika Mji wa Bunda.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa