• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kanali Mtambi atembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa

Posted on: April 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amefanya ziara katika Wilaya ya Butiama ambapo ametembelea makazi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika eneo la Mwitongo, Butiama.

Akiwa nyumbani kwa Baba wa Taifa, amepokelewa na wanafamilia wakiongozwa na mtoto wa Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere na kufanya mazungumzo na wanafamilia na kutembelea kaburi la Baba wa Taifa.

Katika eneo hilo pia, Mkuu wa Mkoa amezungumza na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Butiama na kuitaka kubadilisha mbinu za kushughulikia uhalifu badala ya kufuatilia uhalifu ukiwa umefanyika , wafuatilie wahalifu wakiwa kwenye mipango ya uhalifu.

“Kazi zenu zikiongozwa na intelijensia, mnaweza kupata taarifa za uhalifu kabla ya uhalifu haujafanyika na kusaidia kuzuia matukio ya uhalifu kabla hayajatokea, hili linawezekana mlifanyie kazi” amesema Mhe. Kanali Mtambi.

Kanali Mtambi amelitaka Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara kushirikiana vizuri na wananchi na kuimarisha polisi jamii katika maeneo mbalimbali ili kuweza kupunguza vitendo vya uhalifu katika jamii na kuwalinda wananchi na mali zao.    

Mhe. Mtambi ameeleza kuwa atafanya ziara ya kuzitembelea Wilaya zote za Mkoa wa Mara hivi karibuni kwa ajili ya kujitambulisha na kuahidi atakuwa anaenda Butiama mara kwa mara na hususan nyumbani kwa Baba wa Taifa.

Wakati huo huo, Mhe. Kanali Mtambi amemtembelea Mkuu wa Majeshi Mstaafu  Jenerali David Msuguri na kuzungumza nae nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Butiama.

Katika ziara hiyo, Mhe. Mtambi ameambata na Mkuu wa Wilaya ya Butiama, Kamati ya Usalama ya Wilaya, Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama na watumishi wengine.

 Hii ni mara ya kwanza kwa Mhe. Kanali Mtambi kutembelea Wilaya ya Butiama baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara tarehe 31 Machi, 2024.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa