• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kamati ya Usalama yatembelea miradi ya Mwenge Butiama na Bunda

Posted on: July 10th, 2024

Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Mara ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo imekagua miradi ya itakayotembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 katika Wilaya za Butiama na Bunda.

Katika Wilaya ya Butiama, Kamati imepokea taarifa za miradi itakayotembelewa na Mwenge katika Wilaya ya Butiama ikiwa ni pamoja na maandalizi ya kumbukizi ya miaka 60 ya Mwenge wa Mwitongo itakayofanyika nyumbani kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika kijiji cha Butiama.

Aidha, Kamati imetembelea mradi wa Zahanati ya Kijiji cha Nyalukolu, mradi wa shamba la miti lililopo katika eneo la zahanati hiyo pamoja na hoteli ya Nabaki Africa inayomilikiwa na Bwana Nyihita Wilson Nyihita iliyopo katika kijiji cha Nyabange.

Baada ya hapo Kamati imepokea taarifa na kukagua miradi ya Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na Halmashauri ya Mji wa Bunda na baadaye kutoa maelekezo ya jumla kuhusiana na miradi hiyo.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Kamati imetembelea na kukagua mradi wa Maji wa Sanzate unaotekelezwa na Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) na mradi wa barabara ya Karoleni –Nyamzabe unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA).

Katika Halmashauri ya Mji wa Bunda, Kamati imetembelea mradi wa Zahanati ya Ligamba B na mradi wa maji machafu unaotekelezwa na  Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Bunda (BUWASA) na baadaye kufanya kikao cha majumuisho ya miradi ya Halmashauri zote mbili.

 Akizungumza katika ziara hiyo, Mkuu wa Mkoa amewataka Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri kutekeleza maagizo yote yaliyotolewa na Kamati ya Wataalamu na Kamati ya Usalama ya Mkoa na kuhakikisha kunakuwa na hamasa ya kutosha wakati wa mbio za mwenge wa uhuru katika maeneo yao.

Katika ziara hiyo Kamati ya Usalama ya Mkoa imeambatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya za Butiama na Bunda, Maafisa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na Halmashauri za Wilaya ya Butiama, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na Halmashauri ya Mji wa Bunda.

Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa Mkoa wa Mara tarehe 26 Julai, 2024 na kukimbizwa katika Wilaya sita na Halmashauri tisa kabla ya kukabidhiwa Mkoa wa Simiyu tarehe 4 Agosti, 2024.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa