• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Jenerali Musuguri kuzikwa Novemba 04, Butiama

Posted on: October 30th, 2024

Mkuu wa Majeshi Mtaafu, Jenerali David Bugozi Musuguri anatarajiwa kuzikwa kwa heshima za kijeshi nyumbani kwake katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Butiama, Mkoa wa Mara Jumatatu tarehe 04 Oktoba, 2024.

Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda imeeleza kuwa Jenerali Musuguri (104) amefariki jana tarehe 29 Oktoba, 2024 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza wakati akipatiwa matibabu.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dotto Mashaka Biteko anatarajiwa kuongoza zoezi la utoaji wa heshima za mwisho za kijeshi kesho tarehe 01 Novemba, 2024 katika Hospitali Kuu ya Jesho Lugalo Jijini Dar es Salaam.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa marehemu alizaliwa tarehe 04 Januari, 1925) katika Kijiji cha Butiama, Wilaya ya Musoma (kwa sasa Butiama) na kupata elimu katika ngazi mbalimbali.

Marehemu alijiunga na Jeshi tarehe 09 Agosti, 1943 na kuhudhuria kozi na mafunzo mbalimbali katika nchi za Kenya na China na wakati wa uhai wake alilitumikia Jeshi kwa zaidi ya miaka 45 hadi alipostaafu jeshini kwa heshima tarehe 01 Septemba, 1988.

Kwa kutambua na kuthamini mchango wake katika kulitumikia Jeshi na kulinda Taifa, Rais na Amiri Jeshi Mkuu alimtunuku medali mbalimbali ikiwa ni pamoja na medali ya Vita vya Kagera, Miaka 20 ya JWTZ, Utumishi Mrefu Tanzania na Utumishi Uliotukuka Tanzania.

Sekretarieti ya Mkoa wa Mara inatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki waliofikwa na msiba huu, Bwana ametoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa