• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Hapi atoa siku 20 kukamilisha uthamini

Posted on: August 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi amewataka wathamini kutoka katika ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali kukamilisha zoezi la uthamini wa ardhi katika eneo la Komelera ndani ya siku 20.

Mheshimiwa Hapi ametoa agizo hilo leo tarehe 12 Agosti 2021 wakati alipotembelea eneo hilo kujionea kazi ya tathmini ya maeneo ya wananchi yanayotarajiwa kuchukuliwa kwa ajili ya upanuzi wa Mgodi wa Dhahabu wa North Mara.

“Haiwezekani ninyi mnauwezo wa kufanya uthamini wa ekari 50 kwa siku moja lakini kazi mnayofanya sasa ni ekari tano kwa siku jambo ambalo linachelewesha uthamini huu kukamilika.

Mheshimiwa Hapi amewaagiza viongozi na watendaji wa Wilaya ya Tarime kutoa ushirikiano kwa wathamini hao ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na haraka.

Aidha amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Tarime/Rorya kuongeza ulinzi katika eneo la tathmini ili kuondoa vurugu yoyote wakati wa zoezi la tathmini katika eneo hilo.

Mheshimiwa Hapi amewaonya wananchi watakaofanya vurugu katika eneo hilo na kuchelewesha uthamini kuwa hawatavumiliwa kuvuruga zoezi hilo sheria itachukua mkondo wake.

Mheshimiwa ametoa tahadhari kuwa mwekezaji akiona anacheleweshwa kuendelea na mradi wake anaweza kutaka kuhamishia mgodi wake sehemu ambayo haina vurugu kama za Tarime maana maeneo yenye dhahabu yapo mengi hapa nchini.

Amewataka Maafisa Tarafa, Watendaji wa Kata na Vijiji kusimamia uthamini huo ili kutatua migogoro inayojitokeza ili wathamini waendelee na uthamini bila kubuguziwa na mtu yoyote.

Kwa upande wake Mthamini kutoka Ofisi ya Mthamini Mkuu wa Serikali Bwana Rashid Magetta ameeleza kuwa kwa sasa uthamini unafanywa na wataalamu 54 hata hivyo kazi hiyo haiendi kwa kasi inayotakiwa kutokana na changamoto mbalimbali.

Amezitaja changamoto hizo kuwa ni pamoja na wananchi kuendelea kupanda mazao wakati huu wa uthamini katika maeneo ambayo yanaendelea kuthaminishwa; migogoro ya wananchi kugombea ardhi; wananchi kuendelea kuuziana ardhi wakati huu wa uthamini na migogoro ya mipaka ya vijiji baina ya viongozi wa vijiji.

Amezitaja changamoto nyingine kuwa ni baadhi ya maeneo kuwa na hati na kuvamiwa na wavamizi ambao nao wanataka wathaminiwe wakati maeneo sio yakwao kiuhalali.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC azitaka Wilaya kuongeza nguvu maandalizi ya Mwenge 2025

    May 09, 2025
  • Mtambi akabidhi tuzo na kinyago washindi wa Mwenge 2024

    May 09, 2025
  • Mtambi alitaka jukwaa la ushirika kuongeza ubunifu

    May 08, 2025
  • Jumuiya ya Waislamu Musoma yachangia madawati

    May 08, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa