• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Meya awataka watumishi kushiriki mazoezi

Posted on: May 18th, 2024

Meya wa Manispaa ya Musoma Mhe. William Gumbo leo ameongoza mazoezi ya watumishi wa Serikali Mkoa wa Mara yaliyofanyika katika Uwanja wa Posta, Manispaa ya Musoma na kuwataka watumishi kushiriki kikamilifu katika mazoezi ya watumishi ili kulinda afya zao.

Mhe. Gumbo amewataka watumishi kutenga siku za kufanya mazoezi katika ratiba zao na kila jumamosi ya mwisho wa mwezi, mazoezi yatafanyika kwa pamoja katika uwanaja huo.

“ Pamoja na kufuata maelekezo ya viongozi wa kitaifa, mazoezi ni muhimu kwa afya za watumishi na yanatusaidia kujenga na kulinda miili dhidi ya magonjwa na kuboresha muonekano wa mtumishi” amesema Mhe. Gumbo.

Mhe. Gumbo amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mara kwa kuwakumbusha wafanyakazi kufanya mazoezi na kuandaa ratiba ya mazoezi hayo na kuwataka wananchi wa Manispaa ya Musoma kushiriki katika mazoezi hayo.  

Kwa upande wake, Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Dkt. Zabron Masatu ameeleza kuwa mazoezi kwa watumishi ni muhimu sana kwani yanaboresha afya za watumishi na kuwalinda dhidi ya magonjwa yasiyo yakuambukizwa.

Dkt. Masatu amewashukuru viongozi kwa kuandaa mazoezi hayo kwa watumishi na kuwahimiza watumishi kushiriki kikamilifu kwa faida yao.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Musoma Bwana Ally Seif Mwendo amewapongeza watumishi wote walioshiriki kufanya mazoezi na kuwataka watumishi wa Manispaa ya Musoma kuhudhuria mazoezi hayo kwa mujibu wa ratiba iliyowekwa.

Mazoezi hayo yaliwahusisha watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Manispaa ya Musoma na taasisi mbalimbali zilizopo Manispaa ya Musoma yalianza kwa mbio nyepesi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara na kuuzunguka mlima Mkendo hadi Uwanja wa Posta ambapo watumishi walifanya mazoezi ya viungo.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa