• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikari inathamini mchango wa wafanyabiashara wadogo

Posted on: February 18th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu leo (16 Februari, 2024 amefungua mafunzo ya siku moja ya Maafisa biashara, Tehama na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Mara kuhusu mfumo wa kuwatambua na kuwasajiri wafanyabiashara wadogo yaliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Musoma.

Akizungumza katika halfa ya ufunguzi wa mafunzo hayo, Bwana Makungu amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ni kujenga mazingira wenzeshi ya wafanyabiashara ndogondogo (wamachinga) kufanya biashara zao ili kujipatia kipato kwa maendeleo yao na jamii kwa ujumla.

“Tangu nchi yetu ipate uhuru, kwa mara ya kwanza Serikali ya awamu ya sita inajenga ofisi kila Mkoa kwa ajili ya viongozi wa chama cha wafanyabiashara wadogo hapa nchini na inaanzisha mfumo rasmi wa kuwatambua na kuwasajiri kama kundi muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu” amesema Bwana Makungu.

Bwana Makungu amewataka wataalamu watakaohusika kuwatambua na kuwasajiri wafanyabiashara wadogo kufanyakazi hiyo kwa umakini na kwa uzalendo ili kutoa nafasi kwa walengwa wa kundi hili kutambuliwa kiurahisi.

Bwana Makungu ameeleza kuwa mfumo huu umekuja ili kuboresha mfumo wa awali wa utoaji wa kuwatambua na kuwahudumia wafanyabiashara wadogo hapa nchini kutokana na umuhimu wa kundi hilo kwa maendeleo ya nchi yetu.

Akizungumza wakati wa ufunguzi huo, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Biashara na Viwanda Bwana Timotheo Gambaless ameeleza kuwa mfumo huo wa kielekroniki utawezesha kupata taarifa za utambulisho wa uraia, taarifa za watu wa karibu na mfanyabiashara huyi na aina ya biashara na sehemu biashara inapofanyika.

Bwana Gambaless ameeleza kuwa katika mfumo huu mpya wafanyabiashara watalipia shilingi 20,000/= kama awali lakini kitambulisho atakachopatiwa kitatumika eneo lolote hapa nchini bila kuhitaji kujisajiri tena.

Aidha, Mfumo huu utakapokamilika utaiwezesha Serikali kuwatambua na kufuatilia taarifa mbalimbali za wafanyabiashara wadogo hapa nchini na kufuatilia maendeleo yao na namna wanavyokua kibiashara hadi kuwa wafanyabiashara wakubwa.  

 Mafunzo haya ya siku moja yameendeshwa na Wizara ya Viwanda na Biashara na kuhudhuliwa na maafisa Tehama, Biashara na Maendeleo ya Jamii kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri zote za Mkoa wa Mara.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa awasha Mwenge wa Mwitongo kwa mara ya 61

    August 18, 2025
  • Mwenge wakagua miradi ya bilioni 6 Musoma

    August 18, 2025
  • Maambukizi ya UKIMWI katika Wilaya ya Bunda yamepungua

    August 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa