• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwenge wa Uhuru waanza mbio zake katika Mkoa wa Mara

Posted on: July 4th, 2023

Mwenge wa Uhuru leo umeanza kukimbizwa katika Mkoa wa Mara kwa kukimbizwa katika Wilaya ya Serengeti ambapo umezindua miradi miwili, kuweka mawe ya misingi katika miradi mitatu, kutembelea kikundi cha vijana cha ufugaji wa kondoo na vilabu vya wapinga rushwa na mazingira.

Miradi iliyozinduliwa ni pamoja na mradi wa daraja la Tabora B linalosimamiwa na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ikiwa ni sehemu ya madaraja matano na mradi wa vyumba vya madarasa viwili, ofisi ya walimu, tenki la maji na vyoo vya wanafunzi katika Shule ya Msingi Kisangula miradi ambayo ni sehemu ya miradi mikubwa inayofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KFW) katika Wilaya ya Serengeti.

Aidha, Mwenge wa Uhuru umeweka mawe ya msingi katika mradi wa maji unaosimamiwa na Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (TARURA) katika Kijiji cha Nyibirekera na mradi wa zahanati katika Kijiji cha Nyibirekera  ikiwa ni sehemu ya miradi ya ujenzi wa zahanati, nyumba za watumishi na miundombinu ya afya inayofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KFW) na mradi wa ujenzi wa Chuo cha Ufundi cha World Changer kinachofadhiliwa na Taasisi moja ya kidini nchini Ujerumani.

Mbali na miradi hii, Mwenge pia umetembelea kikundi cha vijana wanaofuga kondoo na kilichopata mkopo wa Halmashauri katika eneo la Natta na vilabu vya Rushwa na Mazingira katika Shule ya Msingi ya Kisangula.

Akizungumza kuhusiana na miradi ya Wilaya ya Serengeti, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Mhe. Abdalla Shaib Kaim ameeleza kuwa Mwenge wa Uhuru umekagua na kuridhishwa na nyaraka za miradi, ubora na gharama za miradi ya Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Mhe. Kaim ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti kuwasaidia vijana wanaojihusisha na kikundi cha ufugaji wa kondoo ili kuweza kukua na kufanya uzalishaji ambao utaongeza kipato na ajira kwa wanakikundi na wananchi wengine katika eneo hilo.

Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Serengeti zilihudhuriwa pia na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Serengeti, Mbunge wa Serengeti, viongozi na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti na wananchi wa Wilaya ya Serengeti.

Kesho tarehe 5 Julai, 2023 Mwenge wa Uhuru utaendelea na mbio zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Butiama ambapo ukiwa hapo unategemewa kuwasha Mwenge wa Mwitongo.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa