• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yaboresha Mazingira ya Uwekezaji

Posted on: February 28th, 2020

Mkoa wa Mara umedhamiria kuwa kinara wa biashara na uwekezaji kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji mkoani humo. Hayo yameelezwa katika Mkutano wa Mashauriano kati ya serikali,  wafanyabiashara na wawekezaji uliofanyika tarehe 24 Februari 2020 katika ukumbi wa Mwembeni, Manispaa ya Musoma.

Akizungumza katika ufunguzi wa mkuatano huo, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Adam Kighoma Malima amesema Mkoa wa Mara unajipanga kuweza kuongeza uzalishaji na tija ya shughuli mbalimbali zinazofanyika katika mkoa huu ikiwa ni pamoja na kilimo cha Kahawa na Pamba.

“Kwa muda mrefu Mara ni Mkoa ambao fursa zake na raslimali zake zilikuwa zimejificha na kunufaisha mikoa mingine. Kama Mkoa tumeamua kutangaza fursa na rasilimali mbalimbali zilizomo ili kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara zaidi.”

Akitoa mfano wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, mazao yatokanayo na Ziwa Victoria na madini yaliyopo mkoani humo, ambavyo awali vilikuwa vinainufaisha mikoa na nchi jirani lakini vipo katika Mkoa wa Mara.  

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mara, Bwana Boniface Ndengo amesema taasisi yao inalengo la kuufanya Mkoa wa Mara kuwa lango kuu la biashara kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa. “Tumechukua jitihada za maksudi kuhakikisha tunawakuza wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa Mara ili kuuwezesha Mkoa wetu uweze kukua kiuchumi”  

Mkutano huo ulihudhuriwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mheshimiwa Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kijaji na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mheshimiwa Mhandisi Stella Manyanya. Aidha ulihudhuriwa pia na maafisa mbalimbali wa serikali ikiwemo wawakilishi wa Makatibu wakuu wa wizara, wakuu wa taasisi, wawakilishi wa wakuu wa taasisi na maafisa waandamizi wa serikali.

 Mkutano huo pia ulihudhuriwa na viongozi wote wa Mkoa wa Mara, wawakilishi kutoka katika vyama mbalimbali vya wafanyabiashara, wawekezaji pamoja na wakuu wa taasisi zote zilizomo katika Mkoa wa Mara. Katika Mkoa wa Mara mkutano huu umefadhiliwa na Kampuni ya Barrick kupitia mgodi wake wa North Mara, Benki ya NMB na Benki ya NBC.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa