• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Serikali yaongeza Muda wa Nanenane

Posted on: August 5th, 2020

Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Japhet Hasunga ametangaza rasmi kuongeza muda wa maonyesho kwa siku mbili baada ya tarehe 8 Agosti 2020 ili kutoa muda zaidi kwa wananchi kujifunza.

Mheshimiwa Hasunga ametoa maelekezo hayo leo tarehe 4 Agosti 2020  asubuhi katika viwanja vya Nyakabindi wakati anaongea na waandishi wa habari katika banda la Chama cha Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TABWA).

“Nimeona tutoe muda zaidi kwa wakulima, wafugaji na wavuvi wetu kuendelea kujifunza zaidi teknolojia mbalimbali za kilimo zinazoonyeshwa katika maonyesho haya” alisema Mheshimiwa Hasunga.

Kwa mujibu wa Mheshimiwa Hasunga, maonyesho haya ya kilimo yakitumika vizuri wananchi wanaweza kujifunza zaidi kuhusu kilimo bora na namna ya kupata mikopo ya kuwekeza katika shughuli za kilimo kutoka katika taasisi za kifedha.

Nyongeza ya muda inawahusu waonyeshaji katika kanda zote nane ambazo zinaendelea na maonyesho yake katika mikoa ya Tabora, Morogoro, Dodoma, Arusha, Mbeya, Mwanza, Lindi na Simiyu.

Wakati huo huo Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI Mheshimiwa Mwita Waitara amezikumbusha halmashauri zote nchini kutenga maeneo kwa ajili ya shughuli za kilimo.

Mheshimiwa Waitara ameeleza hayo katika kikao cha majumuisho baaya ya kufanya ziara katika maonyesho ya nanenane katika viwanja vya Nyakabindi, Simiyu ambapo alikuwa mgeni rasmi kwa siku ya leo tarehe 4 Agosti 2020.

“Vijana ndio sehemu kubwa ya nguvu kazi ya nchi hii na ajira kubwa kwa hivi sasa ni kilimo na hawa hawana maeneo ya kulima, hivyo ni wajibu wa halmashauri kutenga maeneo ambayo yatatoa ajira kwa vijana” alisema Mheshimiwa Waitara.  

Aidha aliahidi TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo kuendelea kutoa elimu ya masuala mbalimbali ya kilimo ili kuweza kuboresha kilimo hapa nchini.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa