• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC afanya ziara Wilaya ya Rorya

Posted on: August 18th, 2022

RC AFANYA ZIARA WILAYA YA RORYA

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee leo tarehe 11 Agosti, 2022 amefanya ziara ya kujitambulisha katika Wilaya ya Rorya.

Mheshimiwa Mzee alipokewewa na wenyeji wake na baada ya hapo alitembelea ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya na kupokelewa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Rorya na kuwasalimia wananchi wa Rorya katika eneo la Mika.

Baadaye, Mkuu wa Mkoa wa Mara ametembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Rorya na kumwelekeza Katibu Tawala wa Wilaya ya Rorya kufanya ukarabati mdogo mdogo wa jengo hilo wakati tunasubiria bajeti ya serikali kwa ajili ya ukarabati mkubwa wa jengo hilo.

Ametembelea ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Rorya na kuagiza marekebisho mbalimbali katika nyumba ya watumishi (three in one) inayojengwa katika eneo hilo.

Marekebisho hayo ni pamoja na uwekaji wa ngazi nyuma ya nyumba hiyo, vigae vya chooni, ukuta na uwekaji wa PVC kwenye nyumba hiyo.

Mkuu wa Mkoa pia ametembelea ofisi za Polisi Wanamaji katika eneo la Suba na kujionea boti ya doria ambayo inatumia mafuta mengi kutokana na kuwa na injini kubwa ya cc 4000 badala ya cc 40 inayohitajika.

Aidha, Mheshimiwa Mzee alitembelea kipenyo cha mpaka wa Tanzania na Kenya katika eneo la Kilongwe Wilayani Rorya na kutaarifiwa kuwa kipenyo hicho kinakusanya wastani wa 300,000 kwa mwezi.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Mzee aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Msalika Robert Makungu, viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Wilaya ya Rorya.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa