• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Rais amuapisha Kanali Mtambi kuwa RC Mara

Posted on: April 4th, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amemuapisha Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara.

Akizungumza baada ya kuwaapisha viongozi, Mhe. Samia amemtaka Kanali Mtambi kusimamia mpango wa Serikali kuwalipa fidia wananchi wa Kata ya Nyatwali, Wilaya ya Bunda wanaoondoka katika maeneo yao ili kupisha upanuzi wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA).  

“Tunakwenda kulipa fidia kwenye eneo moja pale Serengeti (Nyatwali) ili tukuze utali, hilo nalo nenda kalisimamie ni la muda mrefu na wananchi wamevunjika moyo, ukalisimamie liende vizuri” amesema Mhe. Samia.

Aidha, Mhe. Samia amemtaka Mhe. Mtambi kudhibiti kilimo cha bangi na usafirisha haramu wa bangi katika Mkoa wa Mara kwa kufuata Sheria za nchi.

“Kuna watu (watumishi wa Serikali) wanasindikiza magari yenye mazao (bangi) baada ya kuvuna basi watu wako Serikalini wanasindikiza magari kwenda nchi jirani, nenda ukasimamie vizuri” amesema Mhe. Samia.

Amemtaka pia Mhe. Mtambi kuweka mikakati ya kuuinua Mkoa wa Mara kiuchumi kwa kushirikiana kwa ukaribu na Mkoa wa Kagera na kusimamia vizuri mpaka na nchi jirani na rasilimali za nchi ikiwemo Ziwa Victoria, Mto Mara na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.  

Rais Samia alimteua Mhe. Mtambi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara tarehe 31 Machi, 2024 ambaye amechukua nafasi ya Mhe. Said Mohamed Mtanda ambaye amehamishiwa Mkoa wa Mwanza. Kabla ya uteuzi huo, Mhe. Mtambi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mkoa wa Tanga.

Katika hafla ya kuwaapisha viongozi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam, Mhe. Samia amewaapisha pia viongozi wengine wakiwemo Waziri, Manaibu Waziri, Wakuu wa Mikoa, Manaibu Katibu Wakuu, Jaji wa Mahakama Kuu, viongozi wa Idara ya Mahakama na viongozi wengine aliowateua hivi karibuni.  

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa