• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara yaimarisha Kituo cha Forodha Sirari

Posted on: May 26th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Adam Kighoma Ali Malima amekagua Kituo cha Forodha Sirari leo tarehe 19 Mei 2020 na kusisitiza kuhusu maagizo aliyoyatoa awali kuhusiana na hatua mpya za kudhibiti ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona yaani COVID 19.

Mheshimiwa Malima ameeleza kuwa katika maelekezo aliyoyatoa magari na abiria wote kutoka katika nchi ya Kenya hawataruhusiwa kuingia Tanzania kwa sababu ya kudhibiti maambikizi ya Corona katika nchi hizi mbili.

“Kama nilivyoelekeza awali, maagizo yangu hayajabadilika, utaratibu wetu utaendelea kama kawaida hadi hapo nitakapoelekeza vinginevyo” alisema Mheshimiwa Malima.

Mheshimiwa Malima alisema kuwa ziara hiyo imekuja baada ya kupokea taarifa kuwa kuna magari ya Kenya matano yaliyoingia nchini kupitia mpaka huo kinyume na maagizo yake jambo ambalo amehakikisha kuwa halikuwa sahihi.

Msheshimiwa Malima amewakumbusha maafisa wa mpaka huo kuwa magari yote kutoka nchi ya Kenya yanaishia mpakani na anayehitaji mzigo uliobebwa ataufuata hapo ili kudhibiti maambukizi ya Corona.

Ameeleza kuwa tangu ugonjwa wa corona umeanza, Mkoa wote wa Mara umekuwa na wagonjwa watano ambao wote walitokea katika Mkoa wa Dar es Salaam na kati ya hao mmoja alifariki lakini wengine wanne wamepona na wanaendelea kufanya shughuli zao.

“Ninashangazwa majirani zetu wanaposema sisi ndio tunawaletea ugonjwa wa Corona jambo ambalo sio sahihi” alisema Malima.

Aidha alieleza kusikitishwa kwake na baadhi ya hatua zinazochukuliwa na nchi ya Kenya hususan kutangaza watanzania wenye Corona na kuamua kufunga mpaka jambo ambalo amesema huenda halijatazamwa vizuri.   

 Katika ziara hiyo Mheshimiwa Malima aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bibi Karolina Mthapula, Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara, Mkuu wa Wilaya ya Tarime Eng. Mtemi Msafiri na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Tarime.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa awasha Mwenge wa Mwitongo kwa mara ya 61

    August 18, 2025
  • Mwenge wakagua miradi ya bilioni 6 Musoma

    August 18, 2025
  • Maambukizi ya UKIMWI katika Wilaya ya Bunda yamepungua

    August 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa