• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

Posted on: June 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo atafungua rasmi kongamano la maonesho ya madini yanayowakusanya pamoja wadau mbalimbali wa sekta ya madini katika Mkoa wa Mara yatakayofanyika kwa siku nne katika Manispaa ya Musoma.

Akizungumza na Waandishi wa Habari ofisini kwake, Mhe. Mtambi ametoa ratiba ya kongamano la maonesho ya mwaka 2025 ambapo litahusisha maonesho ya siku nne yatakayofanyika katika uwanja wa Mukendo, Kongamano la siku mbili katika ukumbi wa Mwembeni Complex na matembezi ya kupongeza mafanikio ya miaka minne ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

“Tangu kuingia kwake madarakani, Dkt. Samia amefanya mambo makubwa sana katika Mkoa wa Mara kuwainua wachimbaji wadogo ikiwemo kupeleka umeme katika maeneo ya wachimbaji wadogo, kujenga masoko ya madini, kutoa bure maeneo ya uchimbaji madini kwa vijana, kuwajengea uwezo wa  masuala ya sheria na kuwawezesha uboresha maisha yao” amesema Mhe. Mtambi.

Mhe. Mtambi amesema kauli mbiu ya maonesho hayo ni “Tuimarishe Uwekezaji katika Sekta ya Madini Mkoani Mara, Shiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Maendeleo ya Taifa” na kuongeza kuwa kongamano hilo linafanyika kwa lengo lakuhamasisha uwekezaji katika sekta ya madini na kuchochea ukuaji wa uchumi kwa wananchi.

Mhe. Mtambi amesema kutakuwa na mafunzo ya kuwajengea uwezo wachimbaji wadogo kuhusu uwekezaji katika sekta ya madini kuanzia tarehe 4-5 Juni, 2025 katika ukumbi wa Mwembeni Complex na maonesho ya teknolojia za uchimbaji, uchenjuaji, kemikali na vilipuzi na watoa huduma katika sekta ya madini.  

Mhe. Mtambi amesema jumla ya watu 5,000 wanatarajiwa kushiriki katika kilele cha kongamano hilo na ametumia fursa hiyo kuwashukuru wadau mbalimbali waliochangia kufanikisha kongamano hilo.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa