• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

JKT Rwamkoma kinara Nyama Choa Festival

Posted on: June 6th, 2024

Kikosi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) 822 Rwamkoma kimeibuka mshindi katika mashindano ya Nyama Choma Festival yaliyofanyika leo katika mnada wa Kiabakari, Wilaya ya Butiama na kuhusisha wachomaji nyama mbalimbali kutoka Mkoa wa Mara.

Akitangaza matokeo ya mashindano hayo, Mwenyekiti wa Majaji katika mashindano hayo Bwana Edger Mwansasu amewataja washindi wengine kuwa ni Bwana Deus John aliyeshika nafasi ya pili na Rama Hoteli ambayo imeshika nafasi ya tatu katika mashindano hayo.    

Bwana Mwansasu amewataja washindi wengine kuwa ni Bwana John John ambaye ameshika nafasi ya nne huku Meeting Point ikiwa imeshika nafasi ya tano katika mashindano hayo.

Bwana Mwansasu amesema Mshindi wa kwanza amezawadiwa shilingi 500,000, mshindi wa pili 300,000, mshindi wa tatu shilingi 150,000 wakati washindi wote kuanzia namba moja hadi 15 wamejishindia fulana.

Kwa mujibu wa Bwana Mwansasu washiriki katika mashindano hayo walikuwa 32 ambao walitoka katika Wilaya zote za Mkoa wa Mara.

Kwa upande wake, Bwana Ramadhani Mkune mmoja ya wachoma nyama katika mnada huo ameishukuru Serikali kwa kuanzisha mashindano hayo ambayo amesema yanatoa fursa kwa wananchi na hususan vijana kujitafutia pesa kwa kufanya kazi halali.

Bwana Mkune ameeleza kuwa kwa kuuza nyama wanayochoma katika mnada huo wanapata faida ambayo inawawezesha kujikimu kimaisha hata hivyo ameitaka Serikali kuwafikiria kuwapa mikopo ili waweze kuanzisha biashara za kuchoma nyama.

Kwa upande wake, Meneja wa Tanzania Commercial Benki, Tawi la Musoma Bwana Edward Emmanuel ambaye ni moja ya wadhamini wa mashindano hayo, amesema wananshukuru sana kuwa sehemu ya mashindano hayo na kuahidi kuendelea kudhamini mashindano hayo yakifanyika wakati mwingine.

Bwana Emmanuel ameomba waandaaji wa mashindano haya kuyafanya siku za Jumamosi ili kuwavutia washiriki wengi zaidi wa kutoka nje ya Mkoa wa Mara waweze kufika na kufurahia utofauti uliopo katika nyama choma ya Mkoa wa Mara.

Mashindano hayo yamedhaminiwa na Benki ya Posta, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, Umoja wa Wachimbani wa Dhahabu wa Irasanilo, container park na kadhalika.    

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa awasha Mwenge wa Mwitongo kwa mara ya 61

    August 18, 2025
  • Mwenge wakagua miradi ya bilioni 6 Musoma

    August 18, 2025
  • Maambukizi ya UKIMWI katika Wilaya ya Bunda yamepungua

    August 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa