• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Waziri Mkuu atoa pole kwa wananchi wa Musoma

Posted on: March 26th, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Majaliwa Kassim (MB), leo tarehe 25 Machi, 2025 kupitia simu ya Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi, amezungumza na wananchi waliopata maafa katika Manispaa ya Musoma. 

Akizungumza katika tukio hilo, Mhe. Majaliwa ametoa pole sana kwa wananchi wa Manispaa ya Musoma walioathirika na tukio hilo na kuongeza kuwa wataalamu wa maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu wapo njiani kwenda Musoma kuungana na timu za maafa za Wilaya na Mkoa kwa ajili ya kushughulikia maafa hayo.

“Tumeshamleta mtaalamu wa Maafa ameondoka alfajiri leo Dodoma anakuja kuungana na timu ya maafa hapo Musoma na atakapofika watashirikiana kufanya uratibu wa masuala hayo ili Serikali ione namna nzuri ya kusaidia kutatua changamoto zinazoweza kujitokeza kwenye eneo hilo” amesema Mhe. Majaliwa.

Mhe. Majaliwa amesema, Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amezungumza naye na kutoa salamu za pole za Mhe. Rais kwa wananchi wa Manispaa ya Musoma walioathirika katika maafa hayo.

Mhe. Majaliwa amewataka wananchi kuwa watulivu lakini pia watoe ushirikiano kwa viongozi wa Mkoa na Wilaya ili waweze kushughulikia vizuri jambo hilo na hatimaye Serikali iweze kujua namna nzuri ya kuwasaidia.

Baada ya mazungumzo hayo, Mhe. Mtambi ametoa pole kwa wananchi wote walioathirika na kuwahakikishia kuwa Serikali inafanya tathmini na inajipanga kuhusu namna bora ya kuwasaidia.

Aidha, Mhe. Mtambi amewataka wananchi kuwa na uvumilivu wakati huu Serikali inaporejesha huduma muhimu za kijamii katika maeneo hayo.

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.