• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
MARA REGION

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government MARA REGION

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
  • Administration
    • Organisation Structrure
    • Sections
      • Planning & Coordination
      • Education Sector
      • Water Services
      • Economic & Productive
      • Admin AND Human Resource Management
      • Health & Social Welfare
      • LGAs Management Services
      • Infastructure
    • Units
      • Legal Services
      • Finance & Accounts
      • Internal Audit
      • Information & Communication Technology
      • Procurement & Supply Management
  • District
    • Musoma District
    • Butiama District
    • Bunda District
    • Rorya District
    • Tarime District
    • Serengeti District
  • Council
    • Musoma Muncipal
    • Bunda DC
    • Bunda Town
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Town
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Investment Opportunities
  • Services
    • Water
    • Education
    • Health
    • Infastructure
    • ICT
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Policies
    • Application Forms
    • Integrity Pledge Form
    • Client Service Charter
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Wananchi wahimizwa kushiriki Sensa

Posted on: August 23rd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mzee amewahimiza wananchi wote wa Mkoa wa Mara kushiriki kikamilifu katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 ili waweze kuhesabiwa.

Akizungumza kabla ya kuhesabiwa nyumbani kwake katika Ikulu ndogo ya Musoma leo, Mheshimiwa Mzee amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa makarani wa sensa na kutoa taarifa sahihi ili zoezi hili katika Mkoa wa Mara liweze kwenda vizuri kama inavyotarajiwa.

“Zoezi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa letu kwa hiyo ninawaomba tusiiangushe Serikali, tushiriki kikamilifu na kujibu maswali yote ya Sensa tutakayoulizwa na makarani wa sensa” alisema Mheshimiwa Mzee.

Mheshimiwa Mzee ameeleza kuwa taarifa zote zitakazotolewa na wananchi kwa karani wa Sensa zitakuwa ni siri na zitatumika kwa madhumuni ya Sensa na makarani wote wamesaini kiapo cha kutunza siri za taarifa zote atakazozikusanya katika zoezi la Sensa.

Kwa upande wake, Mratibu wa Sensa katika Mkoa wa Mara Bwana Daniel Danda ameeleza kuwa zoezi limeshaanza vizuri katika Mkoa mzima wa Mara na tayari makarani wote wapo kwenye sehemu zao wanaendelea na kazi.

“Zoezi la Sensa limeanza rasmi usiku wa kuamkia leo, na tayari watu walio katika makundi maalum taarifa zao zimeshachukuliwa na kwa sasa makarani wanaendelea na zoezi la Sensa katika Kaya mbalimbali.

Bwana Danda ameeleza kuwa mpaka muda huo kulikuwa hamna sehemu ambapo zoezi la Sensa katika Mkoa wa Mara lilikuwa limekwama na kuwaomba wananchi kutoa ushirkiano kwa makarani wa Sensa ili kufanikisha zoezi hilo.

Zoezi la Sensa limeanza rasmi leo tarehe 23 Agosti, 2022 na litaendelea kwa muda usiopungua siku 10 kuanzia leo lakini taarifa zitakazotolewa ni za watu waliolala katika kaya usiku wa kuamkia tarehe 23 Agosti, 2022.  

Announcements

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • View All

Latest News

  • Kongamano la Maonesho ya Madini kufunguliwa Mara leo

    June 03, 2025
  • Mtambi ataka ubunifu vyanzo vya mapato

    June 03, 2025
  • Mtambi aipongeza Musoma DC kupata hati safi

    June 03, 2025
  • Kusaya awataka wauguzi kuviishi viapo vyao

    May 30, 2025
  • View All

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
More Videos

Quick Links

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Related Links

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Postal Address: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Telephone: +255282622305

    Mobile:

    Email: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap

Copyright ©2017 Mara Region . All rights reserved.